Akili za wanawake...

Akili za wanawake...

Sawa ,, ila binafsi sitokuja kumtongaza mwanamke anayevaa nusu uchi.

Vaa pendeza ,,hata km ni occasions Basi isikufanye ukawa gumzo lamwaka ...utamtia aibu mtu wako.unless naye awe anamaisha yakisanii km we yaan anavaa elen ,,suruali chini yamatako n.k ndo mnawezana .

Ila ukweli nihuu ndege wafananao ndo huruka pamoja.
Elewa sivai nusu uchi please!!! Tabia ya mtu sio mavazi
 
Elewa sivai nusu uchi please!!! Tabia ya mtu sio mavazi
Najua huvai nusu uchi ,,ila sasa hii ni malumbano yahoja ..

Wewe unasema mavazi sio tabia .

Mimi nasema mavazi kiasi fulan humuongezea mtu bargaining position .


Imagine mpo wawili , we umevaa nusu uchi lkn unatabia nzur alafu mwenzako kavaa kiheshima lkn anatabia mbaya ....kisha mkapelekw kukutanishwa na mwanamme mgeni asowajua ,,, unahisi ninan atajiuza tu mwenyewe pasipo kuongea ????

Kizuri hujiuza nakibaya mpaka kijielezee " oohhhh usione mie mavazi tuuu lkn ninatabia nzuri "" sasa hii ningumu kwamwanamme kuelewa .


LABDA NIKUTHIBITISHIE ,,PRIMARY INSTA ATTRACTION YA MWANAMME KWA MWANAMKE HUWA NI MWONEKANO WA MWANAMKE KWANZA MENGINE NDO HUFUATA. UNLESS UNAVAA VIBAYA LKN ANAKUJUA TOKA ZAMAN KUA HUNA TABIA MBAYA
 
Najua huvai nusu uchi ,,ila sasa hii ni malumbano yahoja ..

Wewe unasema mavazi sio tabia .

Mimi nasema mavazi kiasi fulan humuongezea mtu bargaining position .


Imagine mpo wawili , we umevaa nusu uchi lkn unatabia nzur alafu mwenzako kavaa kiheshima lkn anatabia mbaya ....kisha mkapelekw kukutanishwa na mwanamme mgeni asowajua ,,, unahisi ninan atajiuza tu mwenyewe pasipo kuongea ????

Kizuri hujiuza nakibaya mpaka kijielezee " oohhhh usione mie mavazi tuuu lkn ninatabia nzuri "" sasa hii ningumu kwamwanamme kuelewa .


LABDA NIKUTHIBITISHIE ,,PRIMARY INSTA ATTRACTION YA MWANAMME KWA MWANAMKE HUWA NI MWONEKANO WA MWANAMKE KWANZA MENGINE NDO HUFUATA. UNLESS UNAVAA VIBAYA LKN ANAKUJUA TOKA ZAMAN KUA HUNA TABIA MBAYA
Kuna nguo fupi zingine ukivaa hauwezi kuonekana kama una tabia mbaya......so inategemea na huyo mtu ameamua kukuchukuliaje
 
Yani wewe unachekesha sana mimi naandika huku nimerelax nakuacha uongee tu.......onyesha wapi nimesema chupi ni vazi la kutembea nalo barabarani!!! Kama wewe mwafrika kweli ungevaa ngozi utembee nazo barabarani......acha kujisifia kwa kitu usichokijua
Ngozi
 
mtoa mada tafuta unaevaa unavyotaka achana na wavaa uchi bidhaa zipo nyingi sokoni ni wewe tu kuchagua inayokufaa wapo wenzio wanapenda hizo swaga so pambana na hali yako.
 
Hahaaaaa hiyo pipi ya laki mbi inalingana na Komo la mkulu?
Kwani ww wataka mahali Sh ngap
hahahahahahah Mondray,

I salute you naona umenichoka lol, laki mbili za pipi siku hizi

teh teh

but you made my day
 
Back
Top Bottom