Akili za wanawake...

Akili za wanawake...

Vazi ni kitu cha kwanza kujua tabia ya mtu. Vaa smart na si nusu-nusu, full stop.
 
Hayo n.mawazo mazuriiiiii kbxaaaa.......Umewaaambia ukweli maaana wanaboa kichiz
 
Jay Z basi kapoteza sifa ya kiumeni kabisa maana mke uchi wake viewed worldwide
 
Yah is my boy and soon atakuwa husband......sitetei kuvaa hizo nguo ila nachoamini mwanaume anayempenda mtu wake kiukweli hawezi kuangalia mavazi bali ataangalia tabia ya mtu wake
Eti "soon atakuwa husband", ikitokea sivyo usiende kwa sangoma!!
 
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia moja tu, kukumega, kukuchapa, na kukushikisha adabu kitandani, na sifa zitaishia hapo.

Hakuna mwanaume siriaz anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye siriaz. Mwanamke anayeweza kuacha nje mali ambazo ni fahari ya mumewe zionwe na kila mwanaume. Nionyeshe mwanamke mwenye tabia hizi za hovyo aliyeolewa na mwanaume serious.

Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe pete yake lazima awe na uhakika level ya ujinga kwenye akili yako ni ziro maana anaoa kiongozi wa familia na sio muuza mwili.

Shkamooni wote mnao-boost nyonyo na kubana kalio, kumegwa na kuachwa kwako ni guarantee. Hatuoi ujinga!

Sent using jamii forums mobile app
Binafsi nimeelewa mkuu,tamaa ni dhambi na kumfanya mtu atamani ni vibaya pia.najua tulio wengi humu hatuvai hivyo ila ilikuwa ni mitazamo tofauti tofauti ya watu.Tutalitendea kazi na kujitekebisha.TUNASHUKURU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well mavazi hayamfanyi mtu kuolewa ila believe me ile first expression yako ktk jamii ukiwa umevaa nusu uchi huwa ni moja tu "" huyu mwanamke nimuhuni "" hainaga eti sijui kuangalia tabia zake .

Personality humuelezea mtu sana,, and yes Is ur "boy" not a "husband" kwaiyo bado kuna njia yakwenda .

Mie nikuakikishie sisi wanaume huwa tukioa tunagemea jamii ikusifu kwakumpata mwanamke safi namwenye hadhi ,,huwa hatupendi kumuelezea mwanamke ktk jamii isipokua yeye anajielezeaje ktk jamii .

Sasa kwasababu he is a "boy" mie nakupa hongera maana maboy wengi huwa hawajali sana jamii inasemaje wao huwa wanataka hii """ Daaah dem wako anamapaja balaaa"" ,,,"daashhh mtoto wako kafungasha "" daaahh dem wako kifuani anakimbiza " daaaahhhh mwanangu unafaidi "" daaahhhh mwanangu unakula minofu ya kiti moto baba "" .


Ila Kwa mwanamme yeye huwa anataka hii """ Aisee umejaaliwa kupata mwanamke anayejitambua "
Indeed Kaka,

Mi nimepata kukaa na wamama fulani; ambapo waliwaona wadada fulani waliotaka kuvuliwa Nguo na wahuni stand ya Morogoro mjini maarufu kama "Stand ya Mazimbu" Morogoro miaka fulani ya nyuma.

Wale wamama watu wazima walitema Povu kwa mabinti hao, wakilalamika kwetu kua:- kama tungevaa viatu vyao(Vya umama) hakuna kitu kinaumiza kama una binti ambaye miaka inaenda wala haolewi. Wala mtu wa kuja kumposa hatokei. Waliwasuta wale mabinti ambao walilazimika kupanda Hiace ili tu wasije kuadhiriwa na wahuni kwa kuvuliwa nguo.

2nd:-
Nimeshuhudia sana mabinti wanaovaa vizuri wakawa wanatembea Barabarani, inatokea kabisa Mwanaume anapita na Gari Private anamuona . Anajisikia vizuri kutoa lifti bure, kwasababu tu binti ana mvuto kapendeza.

Hii ndio ladha ya Mavazi.
Kama unavaa kama Porn star, inabidi tukuweke kwenye kundi hilo la Whore.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Indeed Kaka,

Mi nimepata kukaa na wamama fulani; ambapo waliwaona wadada fulani waliotaka kuvuliwa Nguo na wahuni stand ya Morogoro mjini maarufu kama "Stand ya Mazimbu" Morogoro miaka fulani ya nyuma.

Wale wamama watu wazima walitema Povu kwa mabinti hao, wakilalamika kwetu kua:- kama tungevaa viatu vyao(Vya umama) hakuna kitu kinaumiza kama una binti ambaye miaka inaenda wala haolewi. Wala mtu wa kuja kumposa hatokei. Waliwasuta wale mabinti ambao walilazimika kupanda Hiace ili tu wasije kuadhiriwa na wahuni kwa kuvuliwa nguo.

2nd:-
Nimeshuhudia sana mabinti wanaovaa vizuri wakawa wanatembea Barabarani, inatokea kabisa Mwanaume anapita na Gari Private anamuona . Anajisikia vizuri kutoa lifti bure, kwasababu tu binti ana mvuto kapendeza.

Hii ndio ladha ya Mavazi.
Kama unavaa kama Porn star, inabidi tukuweke kwenye kundi hilo la Whore.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mithali 9:7-9

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom