Kuna age ambayo ukifika lazima ujibehav km mwanamke mwenye akili nakm mwanamke mwenye akili.
Wewe nimwanamke aged 24-28 hii ni age ambayo bila shaka unatafuta kuolewa ,alafu unakuta mtu maziwa nje ,,mapaja nje ?? Are you serious na unachokitaka ?????? This is the shame.....
Fanya hayo ukiwa huamin ktk ndoa nakm unaamin uwe unaamini kuolewa nibahat so uolewe au usiolewe wewe haikuathiri kitu.
Nisawa namwanamme ambaye anataka kua baba bora yupo 27-33 alafu naye bado anavaa chini ya matako ,,eleni sikion.
Hapa msichanganye maisha ya usanii ambayo huwa wao nikuzaaaa tu bila ndoa .nakm nindoa huoana wao Kwa wao .
Kinyume nahapo wewe mwanamme na mwanamke mnaoenda na ujana mtaishia kusikia mume na mke .
Kuna wakati ukifika nilazima uachane na ujana .