Akili za wanawake...

Akili za wanawake...

Kuna age ambayo ukifika lazima ujibehav km mwanamke mwenye akili nakm mwanamke mwenye akili.

Wewe nimwanamke aged 24-28 hii ni age ambayo bila shaka unatafuta kuolewa ,alafu unakuta mtu maziwa nje ,,mapaja nje ?? Are you serious na unachokitaka ?????? This is the shame.....

Fanya hayo ukiwa huamin ktk ndoa nakm unaamin uwe unaamini kuolewa nibahat so uolewe au usiolewe wewe haikuathiri kitu.

Nisawa namwanamme ambaye anataka kua baba bora yupo 27-33 alafu naye bado anavaa chini ya matako ,,eleni sikion.

Hapa msichanganye maisha ya usanii ambayo huwa wao nikuzaaaa tu bila ndoa .nakm nindoa huoana wao Kwa wao .

Kinyume nahapo wewe mwanamme na mwanamke mnaoenda na ujana mtaishia kusikia mume na mke .

Kuna wakati ukifika nilazima uachane na ujana .
Umeongea vitu vikubwa sana mkuu,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
9347b59172ec37970471542a2ffec5ef.jpg
 
Sio kila mmoja ni muislamu,halafu as long as MTU hatembei uchi muache na Uhuru wake,wewe wasema lkn mwanaume mwenzio ndio anampenda mkewe kwasababu hiyo na mpaka kamuoa,sisemi watu watembee maziwa wazi lkn Nguo zakumshape MTU sio kosa,we mkeo mvalishe madela hakuna ataekuuliza,kila mwanaume na choice zake,wengine hizo Nguo unazosema mumewe ndio kamnunulia avae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwel baadhi ya wanawake wanavaa vituko wanatuaibisha sisi tunaopenda kujstiri unakuta mtu kavaa kitu kmembana hata kutembea n shida unaona aibu badil yake
Inabidi uzowee tu mwaya. Mi zamani nilikuwa hivyo hivyo kama wewe ila baada ya kuzowea najionea kawaida.
 
Back
Top Bottom