OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,656
- 9,271
Unapozeeka maana yake seli zinakufa zaidi kuliko ambavyo zinazalishwa, circuit ni muunganyiko wa kamba(neuron) ambazo kimsingi ni cell, hivyo basi zinapokufa maana yake circuit inakufa, kila circuit inatunza kumbu kumbu flani,
Hivyo basi unavyozeeka circuit zinakufa mdogo mdogo huku unapoteza kumbu kumbu ndio maana ukifikisha umri flani serikalini wanakuambia ustaafu kazi
Hivyo basi unavyozeeka circuit zinakufa mdogo mdogo huku unapoteza kumbu kumbu ndio maana ukifikisha umri flani serikalini wanakuambia ustaafu kazi