OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,689
- 9,342
Kama umesoma vizuri hizo screenshoot utagundua nmekisoma miezi kadhaa iliyopita kwahiyo mimi nilitaka kukuelekeza ili nawewe uwe unapakua vitabu mbali mbali bure kiukweli kusema nianze kuatach hapa naona sio sawa isitoshe bando lenyewe sio la kutoshaSijaona mahali nimesema nimeshidwa usininukuu vibaya narudia kutokana na sababu zilizo nnje ya uwezo wangu.
Ni sawa nami niseme kama umeshidwa kukipakia hapa jukwaani umekisoma kweli?