Akili inayotumika kumponda Hayati Dkt. Magufuli ndio ile ile iliyowagharimu wana Libya

Comrade Extrovert leo umefunguka eheheee, but bado nalia na hawa viongozi wa kipewa madaraka kutokana na baba zao nao wanatuharibia nchi kwa kujitosa kupambana na nafsi isiyokuwepo.
 
Salama humu,

Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!

Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.

Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.

Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.

Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.

Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
Agizia kitimoto kilo moja kwa mangi na bia 4 bili kwangu jamaangu,

Kuna watu waliozowea mtelemko walipowekwa pembeni kwa kuwa hakuwa anaendana nao ndio wanaomdhihaki kwa sasa.
 
Akili hiyohiyo ndiyo iliyotumika kumsifu na kutesa waliomkosoa.

Gang mwacheni Mama arekebishe nchi,Kimsingi kwa yeyote mwenye akili anachokifanya Mama sasa hivi ndiyo kinachotakiwa kufanyika kasoro kwa Mbowe,ila wenye upeo mpana na wanaoona mbali kisiasa wanajua kwanini anafanya hivyo kwa Mbowe wewe kwa upeo wako huwezi kuelewa.
Wewe fala kweli eti kasoro mbowe nimecheka kwa dharau.
 
Kwa sas tuweke democraciq pembeneni tuweke dictotor ndie anatuweza hapa tutak sna bila hatma zavijana
 
Mtoto wake Saif Al-Islam anagombea uraisi na dakika za mwisho ndio alikuwa mshauri wa Gaddafi kwenye maswala ya uchumi educated to PhD level from London School of economic.

Akili kichwani huko Libya, the same can not be said in Tanzania lile tabaka la watu wanaodhani kutuongoza ni haki yao ya kuzaliwa kupitia mgongo wa CCM limerudi tena.
 
Ha ha ha haaa!
====
Rejea shuhuda za walibya, Mkuu. Utaujua ukweli.
full framed stories na shuhuda zilikuwa zinatolewa na watu maalumu kwa kusudi maalumu.
Gaddafi nae alikuwa na watu wake kama akina slow slow, hao ndiyo walikuwa wakisema hizo habari za kupewa 100M dollars ukitaka kuoa.
 
Sasa unaniponda kwa kitu ambacho kiko dhahiri mzee, jamaa gap lake lishaanza onekana na litazidi!

Kama uhuru wa kuongea unarahisisha life mbona bundle zimepanda, mafuta yamepanda, umeme na maji shida! Magufuli hayupo sasa maana hizi lawama mnatamanigi mumpe yeye ila alieko mitamboni ni hangaya!
Nondo iliyokuwa inauzwa elfu 20 sasa hivi ni elfu 25..

Muda ni mwalimu mzuri na bado
 
Salama humu,

Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!

Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.

Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.

Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.

Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.

Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
Big up man
 
"Mkuu hapo unaposema baba mbabaishsji hata angekuwa paroko ni kazibure"! kwani unawezamtofautisha vipi Mwendazake na baba wa aina hiyo???.....Alikuwa akijinasibu kuvunja record ya ukusanyaji mapato, lakini kumbe ndiye aliyekopa pakubwa kuliko marais wote huku akiteleza miradi ya miundombinu tu!
baba asiyeweza kuajiri wahitu au hata kuongeza kipato tu cha watoto wake wanaomtumikia hatufai! Tumuombee tu apumzike kwa amani lakini baba huyo aliumiza wengi!
 
Katika Maraisi ambao walijichimbia makaburi from the get-go ni kipenzi chenu Magufuli. Msifieni mnavyotaka, mpambeni mnavyotaka, mkitaka mumfanyie na ibada kabisa. Lakini ukweli ni kwamba Raisi Magufuli was a Brutal Assassin of the working class, a fanatic, a divisive figure and a threat to national unity and security.

Pili, kutaka kufananisha kilichotokea nchini Libya na Tanzania nadhani bwana Extrovert ni kutofahamu kwa undani zaidi siasa za Maghreb na nchi za Kiislamu. Hivyo kabla ya kuanza kutoa majibu ya jumla nakushauri ufanye tafiti kwanza. Kuna sababu nyingi zilizopelekea kuanguka kwa Muhammar Qhaddafy ambazo hujazigusa kabisa. Lakini pia kuna sababu nyingi zilizopelekea utawala wa Magufuli kuzimika kama taa.

Mimi ni mtu muwazi sana na napenda kusema ukweli: Kuna mambo mazuri ambayo Raisi Magufuli aliyafanya na yameleta mbadiliko makubwa sana nchini. Lakini laiti ungefahamu kwa undani madhara na uharibifu alioufanya kwenye mifumo ya ndani ya hii nchi, usingemuangalia kama unavyotaka dunia imuangalie. Amefanya mambo ya ajabu, hovyo na aibu sana kama Raisi. Mambo ya kishenzi ambayo tulikuwa tunasikia yakifanyika kwenye nchi kama Rwanda, Burundi, Sierra-Leone na Somalia....

Mimi ni moja kati ya watanzania niliouunga mkono utawala wake mwanzoni kabisa, lakini laaah "HAPANA" kutoa roho za watu wasio na hatia bila huruma. Kuvuruga maisha ya maelfu ya watu kwa kisingizio kwamba unaonyoosha nchi na kujenga uchumi ni HOJA MUFULISI ambayo watu wachache ambao hawamwogopi MUNGU na SHULE ZAO ZINA WALAKINI ndiyo wataikubali.

Ila ukweli ni kwamba chuki kubwa kutoka kwa wananchi aliipanda mwenyewe kama Raisi.........
Mwananchi gani anayemchukia magufuli zaidi ya kikundi kidogo cha jamii ya twita na jf,na una uthibitisho gani kuwa ni magufuli ndo aliokuwa anawaua hao watu, je tukisema ni wabaya wamgufuli waliamya kufanya vile ili kuweka taharuki nchini?
 
Salama humu,

Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!

Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.

Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.

Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.

Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.

Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
Wana nia ovu kupora nchi kuwspa mabeberu. Wanajua effect ya magufuli ni kubwa sana ndani ya mioyo ya watu. Mkakati wao eti wanafikiri wanaweza kufanya watu waone magufuli alikosea na wao ndio wanaanza kurekebisha. Unaona intellect ya architects wa mkakati wao ilivyo dhaifu. Mtu kama nape na january kid and fadher na genge lote la wale waliyokua wanaplot against jpm. They are naïve kufikiri wanaweza kupambana na magufuli na kumshinda japo kafa. Magufuli is an idea ambayo imezama deep in the minds of tanzaniamns and africans. In fact ni ujamaa na kujitegemea revived with new vigour.
Salama humu,

Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!

Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.

Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.

Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.

Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.

Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
 
full framed stories na shuhuda zilikuwa zinatolewa na watu maalumu kwa kusudi maalumu.
Gaddafi nae alikuwa na watu wake kama akina slow slow, hao ndiyo walikuwa wakisema hizo habari za kupewa 100M dollars ukitaka kuoa.
Soma hapa chini
_ _ _
By Tatenda Gwaambuka.

April 9th, 2016

Add to my list

Libya under Gaddafi was not entirely hellish as the world has been made to believe. The citizens did not have the luxury of voting but Gaddafi made sure they had a high standard of living to compensate for curtailed freedoms. Was this enough? That is a moot point but the fact remains: Libya was a great place to stay under Gaddafi (provided one did not try to usurp power).

Education and medical treatment were free​

Under Gaddafi, education and health care were free for all. A response to this claim by Masareef Edareeya, a Libyan citizen claimed the quality of education and health was appalling but that does nothing to the fact that it was free. No system is perfect but most are imperfect and still expensive. Gaddafi made sure his system was subsidised and even Mercy Corps attested to the fact in its Beyond Gaddafi: Libya’s Governance Context. That is more than the so-called “democratic leaders” can say for their countries.

=====

Mwandishi wa habari hiyo hapo juu ndugu Tatenda, aliandika habari hii mwaka 2016, wakati Comrade Gaddafi (R.I.P) tayari ameishaondoshwa madarakani na kuuawa. Wakati huo huo Libya ikiwa kwenye msongo wa purukushani za vurugu na mapigano. Kwa hiyo itakuwa ajabu wakati tayari, Comrade Gaddafi ameishaondoshwa na kuuawa bado awe na ujasiri wa kuwaamuru watu waandike habari unazosema eti zimetungwa na watu wake.

Litafakari hili mkuu.
 
Wana nia ovu kupora nchi kuwspa mabeberu. Wanajua effect ya magufuli ni kubwa sana ndani ya mioyo ya watu. Mkakati wao eti wanafikiri wanaweza kufanya watu waone magufuli alikosea na wao ndio wanaanza kurekebisha. Unaona intellect ya architects wa mkakati wao ilivyo dhaifu. Mtu kama nape na january kid and fadher na genge lote la wale waliyokua wanaplot against jpm. They are naïve kufikiri wanaweza kupambana na magufuli na kumshinda japo kafa. Magufuli is an idea ambayo imezama deep in the minds of tanzaniamns and africans. In fact ni ujamaa na kujitegemea revived with new vigour.
wafanye yote ila legacy ya magu tayari imo vichwan mwa watz so ipo cku atatokea mwingine wa kuiendeleza,
legacy ya magu imewafungua blacks wengi sana akili
well played our hero, rest in power magu.
 
Back
Top Bottom