Agizia kitimoto kilo moja kwa mangi na bia 4 bili kwangu jamaangu,Salama humu,
Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!
Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.
Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.
Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.
Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
Kwaiyo mama kairudisha sukari kiwa 1500? Mbona husemi mama kakuta petrol 2000 ndani ya miezi sita tuu imefika 2600Alikuta sukari 1800 je Wakati anaondoka kaacha sh ngap kwa kilo?
Vipi kuhusu Cement kaikuta sh ngap na kaiachaje?
Mafuta ya kula je?
Kiufupi ndani ya utawala wa CCM wote ni walewale wanatofautiana muda tu
Na mwingine jelaWengine Canada
Wewe fala kweli eti kasoro mbowe nimecheka kwa dharau.Akili hiyohiyo ndiyo iliyotumika kumsifu na kutesa waliomkosoa.
Gang mwacheni Mama arekebishe nchi,Kimsingi kwa yeyote mwenye akili anachokifanya Mama sasa hivi ndiyo kinachotakiwa kufanyika kasoro kwa Mbowe,ila wenye upeo mpana na wanaoona mbali kisiasa wanajua kwanini anafanya hivyo kwa Mbowe wewe kwa upeo wako huwezi kuelewa.
Nondo ya mm12 ilikuwa inauzwa elfu 20 sasa hivi ni elfu 25Kwaiyo mama kairudisha sukari kiwa 1500? Mbona husemi mama kakuta petrol 2000 ndani ya miezi sita tuu imefika 2600
full framed stories na shuhuda zilikuwa zinatolewa na watu maalumu kwa kusudi maalumu.Ha ha ha haaa!
====
Rejea shuhuda za walibya, Mkuu. Utaujua ukweli.
Nondo iliyokuwa inauzwa elfu 20 sasa hivi ni elfu 25..Sasa unaniponda kwa kitu ambacho kiko dhahiri mzee, jamaa gap lake lishaanza onekana na litazidi!
Kama uhuru wa kuongea unarahisisha life mbona bundle zimepanda, mafuta yamepanda, umeme na maji shida! Magufuli hayupo sasa maana hizi lawama mnatamanigi mumpe yeye ila alieko mitamboni ni hangaya!
Big up manSalama humu,
Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!
Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.
Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.
Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.
Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
unaniuliza swali ama unatoa maelezo?.Kwani sasa hivi huna akili?
Mbona Mbowe na Sugu na Lema ni matajiri?
Kwani hawakushirikishi wanapataje utajiri pamoja na kuwapigania kote?
Mwananchi gani anayemchukia magufuli zaidi ya kikundi kidogo cha jamii ya twita na jf,na una uthibitisho gani kuwa ni magufuli ndo aliokuwa anawaua hao watu, je tukisema ni wabaya wamgufuli waliamya kufanya vile ili kuweka taharuki nchini?Katika Maraisi ambao walijichimbia makaburi from the get-go ni kipenzi chenu Magufuli. Msifieni mnavyotaka, mpambeni mnavyotaka, mkitaka mumfanyie na ibada kabisa. Lakini ukweli ni kwamba Raisi Magufuli was a Brutal Assassin of the working class, a fanatic, a divisive figure and a threat to national unity and security.
Pili, kutaka kufananisha kilichotokea nchini Libya na Tanzania nadhani bwana Extrovert ni kutofahamu kwa undani zaidi siasa za Maghreb na nchi za Kiislamu. Hivyo kabla ya kuanza kutoa majibu ya jumla nakushauri ufanye tafiti kwanza. Kuna sababu nyingi zilizopelekea kuanguka kwa Muhammar Qhaddafy ambazo hujazigusa kabisa. Lakini pia kuna sababu nyingi zilizopelekea utawala wa Magufuli kuzimika kama taa.
Mimi ni mtu muwazi sana na napenda kusema ukweli: Kuna mambo mazuri ambayo Raisi Magufuli aliyafanya na yameleta mbadiliko makubwa sana nchini. Lakini laiti ungefahamu kwa undani madhara na uharibifu alioufanya kwenye mifumo ya ndani ya hii nchi, usingemuangalia kama unavyotaka dunia imuangalie. Amefanya mambo ya ajabu, hovyo na aibu sana kama Raisi. Mambo ya kishenzi ambayo tulikuwa tunasikia yakifanyika kwenye nchi kama Rwanda, Burundi, Sierra-Leone na Somalia....
Mimi ni moja kati ya watanzania niliouunga mkono utawala wake mwanzoni kabisa, lakini laaah "HAPANA" kutoa roho za watu wasio na hatia bila huruma. Kuvuruga maisha ya maelfu ya watu kwa kisingizio kwamba unaonyoosha nchi na kujenga uchumi ni HOJA MUFULISI ambayo watu wachache ambao hawamwogopi MUNGU na SHULE ZAO ZINA WALAKINI ndiyo wataikubali.
Ila ukweli ni kwamba chuki kubwa kutoka kwa wananchi aliipanda mwenyewe kama Raisi.........
Wana nia ovu kupora nchi kuwspa mabeberu. Wanajua effect ya magufuli ni kubwa sana ndani ya mioyo ya watu. Mkakati wao eti wanafikiri wanaweza kufanya watu waone magufuli alikosea na wao ndio wanaanza kurekebisha. Unaona intellect ya architects wa mkakati wao ilivyo dhaifu. Mtu kama nape na january kid and fadher na genge lote la wale waliyokua wanaplot against jpm. They are naïve kufikiri wanaweza kupambana na magufuli na kumshinda japo kafa. Magufuli is an idea ambayo imezama deep in the minds of tanzaniamns and africans. In fact ni ujamaa na kujitegemea revived with new vigour.Salama humu,
Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!
Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.
Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.
Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.
Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
Salama humu,
Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5!
Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho.
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kabisa kuna walakini katika mfumo wa kiuongozi kutokana na yale ambayo tunayashuhudia. Pesa hamna, vitu vinapanda bei juu, huduma za kijamii zinasua sua.
Haya yalitokea Libya pia miaka kadhaa nyuma ambako walikuwa wanakula asali na maziwa hadi kuvimbiwa na kuona kuwa sasa wanahitaji mtu tofauti wasijue kuwa walikuwa na lulu.
Jamaa alikuwa na madhaifu yake ila alikuwa na concern sana na jamii. Huyu ndio aina ya kiongozi anaeweza kutupeleka katika nchi ya asali na maziwa ila tumeamua kudharau na kukejeli sana yote ambayo mazuri yamefanyika kwa ajili ya umma. Wacha tuinjoy malimao sasa baada ya kutukana maepo.
Baba anayejali familia ndio baba bora, awe jambazi, mlevi, malaya hayo sio tija muhimu asimame na majukumu yake na kuhakikisha familia haikosi huduma zote stahiki. Baba mbabaishaji hata akiwa Paroko wa kanisa ni bure tu!
JPM alikua ni the best president. Tukitoa changamoto ndogo ndogo za ubabe ila mwamba alikua Raisi kweri kweri anayejua namna ya kuiongoza nchi hii ya vilaza.
Vp na ww unataka uolewe, kama una uhitaji wa mume mabasha wapWaliowadanganya wameolewa ubelgiji
Kwani huyu mama Mh rais ametoka CHADEMA hebu tueleweshe ?Sana!
Unaonaje mnavyopata umeme na maji kwa uhakika huku gaidi akiwa jela?
Soma hapa chinifull framed stories na shuhuda zilikuwa zinatolewa na watu maalumu kwa kusudi maalumu.
Gaddafi nae alikuwa na watu wake kama akina slow slow, hao ndiyo walikuwa wakisema hizo habari za kupewa 100M dollars ukitaka kuoa.
wafanye yote ila legacy ya magu tayari imo vichwan mwa watz so ipo cku atatokea mwingine wa kuiendeleza,Wana nia ovu kupora nchi kuwspa mabeberu. Wanajua effect ya magufuli ni kubwa sana ndani ya mioyo ya watu. Mkakati wao eti wanafikiri wanaweza kufanya watu waone magufuli alikosea na wao ndio wanaanza kurekebisha. Unaona intellect ya architects wa mkakati wao ilivyo dhaifu. Mtu kama nape na january kid and fadher na genge lote la wale waliyokua wanaplot against jpm. They are naïve kufikiri wanaweza kupambana na magufuli na kumshinda japo kafa. Magufuli is an idea ambayo imezama deep in the minds of tanzaniamns and africans. In fact ni ujamaa na kujitegemea revived with new vigour.