Jordan Rugimbana alimkosea nini Hayati Magufuli?

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
16,101
36,063
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma

October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.

Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.

Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.

Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.

Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.

Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.

Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
 
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma

October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.

Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini.

Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere.
Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM ,

Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge.
Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.

Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa.
Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.

Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.

Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao.

Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili .

Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.

Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila nk
wanatumbuliwa na kurudishwa yeye yupo tu anacheza bao kijiweni
Mission za namna hiyo haziwezi kutegemea Mkuu wa Mkoa aisee! zinaundiwa kikosi maalumu kuanzia mpigaji mpaka Nesi atakae husika kumtibia au kusafisa maiti
 
Mission za namna hiyo haziwezi kutegemea Mkuu wa Mkoa aisee! zinaundiwa kikosi maalumu kuanzia mpigaji mpaka Nesi atakae husika kumtibia au kusafisa maiti
Mission za namna hiyo haziwezi kutegemea Mkuu wa Mkoa aisee! zinaundiwa kikosi maalumu kuanzia mpigaji mpaka Nesi atakae husika kumtibia au kusafisa maiti
Nesi akichelewa kupewa maelekezo kwa muda sahihi basi dili linaharibika
 
Mission za namna hiyo haziwezi kutegemea Mkuu wa Mkoa aisee! zinaundiwa kikosi maalumu kuanzia mpigaji mpaka Nesi atakae husika kumtibia au kusafisa maiti
Sidhani kama walitegemea kama angefika hospitali akiwa hai. Hauwezi kufanya mission kama hiyo alafu watu wengi kiasi hicho wawe involved.

Kama kuna maelezo RC alipata itakuwa ni baada ya mambo kwenda mrama na jamaa kufikishwa hospitalini.

Siku ile sidhani kama kuna mtu yeyote angemsikiliza jiwe, wabunge wa CCM walilia machozi hadharani, yaani ni kama roho wa Mungu alishuka pale Dom, kila mtu alipambana kuokoa uhai ya Lissu.

Kama haijapangwa haijapangwa tu, hata ufanye nini.
 
Sidhani kama walitegemea kama angefika hospitali akiwa hai. Hauwezi kufanya mission kama hiyo alafu watu wengi kiasi hicho wawe involved.

Kama kuna maelezo RC alipata itakuwa ni baada ya mambo kwenda mrama na jamaa kufikishwa hospitalini.

Siku ile sidhani kama kuna mtu yeyote angemsikiliza jiwe, wabunge wa CCM walilia machozi hadharani, yaani ni kama roho wa Mungu alishuka pale Dom, kila mtu alipambana kuokoa uhai ya Lissu.

Kama haijapangwa haijapangwa tu, hata ufanye nini.

..Tundu Lissu alikuwa nyang'anyang'a, na matumaini ya kunusurika na kifo yalikuwa madogo sana.

..wengi waliamini kumpeleka Nairobi ilikuwa kuchoma pesa tu kutokana na hali mbaya ya kukatisha tamaa aliyokuwa nayo.

..hata Madaktari wa Nairobi wanaona kupona kwa Lissu ni miujiza.
 
..Tundu Lissu alikuwa nyang'anyang'a, na matumaini ya kunusurika na kifo yalikuwa madogo sana.

..wengi waliamini kumpeleka Nairobi ilikuwa kuchoma pesa tu kutokana na hali mbaya ya kukatisha tamaa aliyokuwa nayo.

..hata Madaktari wa Nairobi wanaona kupona kwa Lissu ni miujiza.
Ndugu JokaKuu ,uponyaji wa Mh. Lissu ni "muujiza unaoishi" wa nguvu na uweza wa Mungu Baba Muumba.
 
Sidhani kama walitegemea kama angefika hospitali akiwa hai. Hauwezi kufanya mission kama hiyo alafu watu wengi kiasi hicho wawe involved.

Kama kuna maelezo RC alipata itakuwa ni baada ya mambo kwenda mrama na jamaa kufikishwa hospitalini.

Siku ile sidhani kama kuna mtu yeyote angemsikiliza jiwe, wabunge wa CCM walilia machozi hadharani, yaani ni kama roho wa Mungu alishuka pale Dom, kila mtu alipambana kuokoa uhai ya Lissu.

Kama haijapangwa haijapangwa tu, hata ufanye nini.
Katika dili lolote lazima liwe na PLAN B ikiwezekana hata PLAN C ........ sasa hata wenyewe wanaweza kuwa walikuwa na plan B ila mazingira hayakuwa rafiki tena
 
Tarehe 7 Sept 2017
Tundu Lissu anapigwa risasi mkoani Dodoma

October 2017
Jordan Rugimbana mkuu wa mkoa wa Dodoma anatumbuliwa.

Jordan ni mtoto wa Kamisna wa kwanza wa jeshi la magereza nchini. Baba yake alifariki kwa ajali kama sikosei enzi za Nyerere. Nyerere aliwachukua baadhi yao na kuwalea kama wanae.
Huyu alikuwa kada mtiifu wa UVCCM.

Kuna mwaka akawa kiongozi wa mbio za mwenge. Ghafla nyota yake ikawaka na kukwaa ukuu wa wilaya kadhaa kama vile Mwanga,Kinondoni na kuwa RC Dodoma.

Kipindi Tundu Lissu anapigwa risasi yeye ndio alikuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma na mwenyekiti wa kamati ya inzi na usalama mkoa. Inasemekana kuna maelekezo toka juu hakuyafata kuhusiana na kumtibia na kumsafitisha majeruhi Lissu.

Baada ya kutumbuliwa akajifungia ndani akijiikita kufanya shughuli zake binafsi ikiwemo kusimamia ujenzi wa makumbusho ya kabila lao huko Karagwe.

Wanoko wakamfikishia taharifa hayati Magufuli kuwa yule bwana uliyemtumbua anajenga makumbusho kijijini kwao. Magufuli akaupiga stop ule mradi ambao ulikuwa hautumii fedha za umma bali wananchi na wafadhili. Na akamwambia amefungiwa mbinguni na duniani kamwe atalamba asali maishani mwake.

Huu ni mwaka wa nne wenzake akina Chalamila na Kafulila n.k wanatumbuliwa na kurudishwa, yeye yupo tu anacheza bao kijiweni.
Kisa
Hakushiriki IPASAVYO mauaji!!?

LAKINI huyu lisu!!!?

Aliifanya Nini jamuhuri hadi Baraka za shambulizi lake likafanyika!!?

Aliponzwa na waliomtuma!?!?!?

Acha ibaki ivo ivo!
 
Back
Top Bottom