Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,428
- 860,155
Mkuu umeua...umeweka moto mkali juu ya moto..umechocheaHakikisha pia mtoto anakukubali kabla ya Hiyo breaking news.
Ma single mother wana stress na ni wakorofi kama dada zetu wa kichaga....wanakuja kujifanya wahanga hao mambo yakienda ndivyo sivyo
hapana huu ni ushauri mbaya sanaWanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani), kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri.
Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then mpende huyo mtoto kweli kweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho. Mpende kwa matendo na maneno.
Halafu akiwa mtu mzima mwambie mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya, wakati huo akiwa na kazi yake, halafu kaa kimya.
Muziki utakaofuata hapo we kaa pembeni!
Hii stori umetoa wapi??Lilith na hawa ni watu wawili tofauti, yaani adam alipoumbwa akamkuta lilith yupo, mungu akasema ishi nae huyo ubavu wako sasa lilith akawa mkorofi sana na mgomvi yeye muda wote anawaza maovu ikabidi adamu amtimue lilith akaenda kuanza kua malaya mtaani maana hana mume hapo ndio asili ya umalaya ilipoanzia.
Huyo Mungu akaja kustuka mbona Adam ni mnyonge, ikabidi ampige usingizi kwenye ubavu wake akapatikana hawa sasa ili kidogo waendane ikawa ndio balaa kubwa yule hawa ndio kamaliza show ya kula tunda la mti wa katikati , hivi unavoona duniani dhambi zote mwanaume anasababishiwa na mwanamke ni kiumbe asieridhika wala kueleweka
kwa mfano wa Mungu, mwanaume na mwanamke waliumbwa... mmoja sijui akaenda wapi, mungu akamuona mwanaume ni mpweke akampa usingizi na kuchukua ubavu wake hapo akatokea mwanamke mwingine wakumtoa upweke, yule wa mwanzo aliyesepa akaona wivu akajigeuza nyoka ... hadith inaendelea kama unavyoisomaga nimekupa tafakuri tuu kazi kwako kutafakari.Wanasema Hawa alikuwa anaitwa pia Lilith.Ni elimu tu mkuu,kama hukumaanisha Hawa sorry.Hata hivyo tuelimishe basi,Lilith alikuwa nani,maana you seem to know.
Ni zaidi ya wema yaaniWanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani), kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri.
Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then mpende huyo mtoto kweli kweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho. Mpende kwa matendo na maneno.
Halafu akiwa mtu mzima mwambie mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya, wakati huo akiwa na kazi yake, halafu kaa kimya.
Muziki utakaofuata hapo we kaa pembeni!
No, neno halisemi hivyo,that is a cooked story,ni uzushi.The following is what the Word of God says,msipotoshe watu makusudi,mwogopeni Mungu.kwa mfano wa Mungu, mwanaume na mwanamke waliumbwa... mmoja sijui akaenda wapi, mungu akamuona mwanaume ni mpweke akampa usingizi na kuchukua ubavu wake hapo akatokea mwanamke mwingine wakumtoa upweke, yule wa mwanzo aliyesepa akaona wivu akajigeuza nyoka ... hadith inaendelea kama unavyoisomaga nimekupa tafakuri tuu kazi kwako kutafakari.
Mama yake akifariki kabla ya mtoto kumaliza kusoma.Wanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani), kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri.
Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then mpende huyo mtoto kweli kweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho. Mpende kwa matendo na maneno.
Halafu akiwa mtu mzima mwambie mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya, wakati huo akiwa na kazi yake, halafu kaa kimya.
Muziki utakaofuata hapo we kaa pembeni!
Wanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani), kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri.
Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then mpende huyo mtoto kweli kweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho. Mpende kwa matendo na maneno.
Halafu akiwa mtu mzima mwambie mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya, wakati huo akiwa na kazi yake, halafu kaa kimya.
Muziki utakaofuata hapo we kaa pembeni!
haya mambo mara nyingi wanajitafutia wenyeweMa single mother wana stress na ni wakorofi kama dada zetu wa kichaga....
Ndio nimeshangaa huyo jamaa.Maneno ya kitoto hayo, huyo mtoto umchane vipi wakati ndo atakuwa mkombozi wako baada ya wewe kuhonga pension yote.
Ni ya kitoto ila Yana impact kubwa Sana.Maneno ya kitoto hayo, huyo mtoto umchane vipi wakati ndo atakuwa mkombozi wako baada ya wewe kuhonga pension yote.