AKA & Diamond Platinumz - Make Me Sing [VIDEO]

Daahh!! Sijui nisemeje.. Hii ndio type ya expertise tunayotaka, madini!!
Salute mkuu..
 
Hapa JF naona armchair experts wa music wako wengi sana-wanachosahau ni kwamba Dai has no more territories to conquer in the motherland-anajaribu ku crack soko la nje.hence analysis ya music wake inatakiwa iwe on that context-kumlinganisha Dai with local musicians is a great injustice
 
Punguza mahaba m@m@,aka ni rapa namba moja Afrika kusini na si Afrika,na kama kuna wimbo mbaya ni huu
 
Mashabiki wa ALI KIMBA mshalishwa MAPELA mmeanza kujambajamba. bila breki

Jifunzeni kutofautisha Mbuzi & beberu...nyani & sokwe zen Simba & paka !!!!!!!
 
Video yenyewe wamecopy kutoka kwenye video ya get money lil Wayne ft t pain
 
nenda kaangalie video ya lil' Wayne ft T Pain-Got Money uje na maelezo ya kutosha,
Hii hoja yako niliisahau! Video ya Got Money naifahamu kwahiyo hata nisipoiangalia tena bado naweza kuielezea. Nafahamu, unachotaka kusema ni kwamba wameiga hii video simply because video zote mbili zina-involve urushaji wa pesa!!

Tatizo wengi wenu kwenye hili jamvi sio wasanii wa eneo lolote lile la sanaa kwahiyo hata tafsiri rasmi ya ku-copy mnailezea ndivyo sivyo! Back then I did music though mostly for funny. For the time being am screenwriter and back then kabla sijaifahamu thamani yangu I used to write fictitious stories for newspapers. Kwa misingi hiyo, utakuta angalau kidogo naifahamu sanaa na limitations zake! Kutokana na hayo, unatakiwa kufahamu yafuatayo:
  • Hakuna copyright ya idea wala title: Nime-include "title" manake wachambuzi wa JF wakiona hata title imefanana tu, watakuambia "ame-copy." Huwezi kusema X ame-copy property ambayo legally haiwezi kuwa copyrighted. Si hivyo tu, pia hata hiyo copying yenyewe ina viwango vyake! X anaweza ku-copy mstari mzima wa wimbo-- word to word, punctuation to punctuation na bado kisheria hiyo isiwe considered kwamba ni copying! Hata kama idea zimefanana, kama ni filamu au music video, kinachoangaliwa ni plotting na sio idea au tiltle. Na kama ni filamu, kwa kuwa ni ndefu, unaweza kukuta scene moja au mbili zimefanana na bado isiwe crime from property right perspective though inaweza kuwa crime from JF Analysts especially kama alleged product ni ya Mtanzania. Wewe umetengeneza filamu yako kuhusu ugaidi na kuna scene magaidi wanaripua ghorofa! Wewe kutengeneza filamu ya kuhusu ugaidi hakuzuii wengine wasitengeneze filamu kuhusu ugaidi! Na ikiwa kesho na keshokutwa na mimi natengeneza filamu kuhusu ugaidi halafu kuna scene magaidi wanaripua ghorofa hiyo pia huwezi kusema kwamba eti nime-copy scene yako ya magaidi kuripua ghorofa-- by the way, that's how terrorists do, right! Now tell me, hivi ukikaa chini na kutengeneza video story kama inavyoonekana video ya wimbo wa "Make Me Sing" kisha ukatengeneza video story kama inavyoonekana video ya wimbo wa Got Me Money; do you really believe PLOTTING zake zitafanana?
 
Aaaa AKA gani huyu mbona kama sio yule wa don bother
 


Less than 48hrs, zaidi ya 300K views.!!!

Tarararaaaaaaa tararaaaaaa!!
......... Sangoma wa nini nshanasa..!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…