Ndiyo mwanzo wa kuestablish KIBITI EMPIRE.Vipi wakuu?
Eti ajira za ualimu zimetoka? Na vipi kama hazija toka hivi mkulu ana malengo gani na vijana waliozagaa mitaani wakisubiria ajira tokea mwaka juzi? Au ndio mdogo mdogo ndio tunatengeneza genge la majambazi wasomi?
Ndiyo mwanzo wa kuestablish KIBITI EMPIRE.
Waache tu walewe madaraka. Wakishashituka dikiteta uchwara hoi.
Halafu yule dikiteta akisimama kweny majukwaa kazi nikuwashutumu tu wenzake wakati na yy hovyo tu. Bora muda ukimbie haraka aondoke tu. Tushamchoka na porojo zake
Week ijayoVipi wakuu?
Eti ajira za ualimu zimetoka? Na vipi kama hazija toka hivi mkulu ana malengo gani na vijana waliozagaa mitaani wakisubiria ajira tokea mwaka juzi? Au ndio mdogo mdogo ndio tunatengeneza genge la majambazi wasomi?
Zilizotoka ni za awamu ya pili ya walimu wa sayansi na hisabati mkuuVipi Mkuu! Nasikia zimetoka, kuna ukweli wowote?
Kukosa ajira sio lazima uwe jambazi...Ayo ni mawazo ya kitoto ya kudhani ukisema ivyo utaitisha serekali bila ya kujua serekali yako ni kichwa chako mwenyewe...acha kulalamika mtoto wa kiume,,ukipunguza kuchat utapata mambo ya kufanya tofaut na kulialia ovyo...karibu jukwaa la biashara ujionee vijana wenzako wanavyofanikiwa bila kuidekea serekali.Vipi wakuu?
Eti ajira za ualimu zimetoka? Na vipi kama hazija toka hivi mkulu ana malengo gani na vijana waliozagaa mitaani wakisubiria ajira tokea mwaka juzi? Au ndio mdogo mdogo ndio tunatengeneza genge la majambazi wasomi?
Ukikua utaachaNdiyo mwanzo wa kuestablish KIBITI EMPIRE.
Waache tu walewe madaraka. Wakishashituka dikiteta uchwara hoi.
Halafu yule dikiteta akisimama kweny majukwaa kazi nikuwashutumu tu wenzake wakati na yy hovyo tu. Bora muda ukimbie haraka aondoke tu. Tushamchoka na porojo zake
Unaumwa.Ukikua utaacha
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
mkuu umetisha....kuwa makini wasijekukubeba uwasaidie kwenye upelelezi. inaelekea unajua chanzo cha alshabab wa kibitiNdiyo mwanzo wa kuestablish KIBITI EMPIRE.
Waache tu walewe madaraka. Wakishashituka dikiteta uchwara hoi.
Halafu yule dikiteta akisimama kweny majukwaa kazi nikuwashutumu tu wenzake wakati na yy hovyo tu. Bora muda ukimbie haraka aondoke tu. Tushamchoka na porojo zake