Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Leo ndi tarehe 20 ishafika hebu tuone mauongo yao
 
Na vp kuhusu wenye SAP waliopangiwa ajira af wakakataliwa kukupokelewa katka halmashauri?
 
Na vp kuhusu wenye SAP waliopangiwa ajira af wakakataliwa kukupokelewa katka halmashauri?

ss una sap afu unaenda kurepot tena eti kwa sabab ulipangwa hapo lazima wasikupokee,hvyo ni kurudi tu zen kasapue tu
 
Hiyo wiki ya pili ni ipi labda, wiki ya pili ilianza tarehe 11 mpk 17 May? Leo tarehe 20 na hayapo kwenye website yao au walimu waende wakayaangalizie huko dodoma tamisemi au ni nini!
Siasa kila kona,.
 
Hiyo wiki ya pili ni ipi labda, wiki ya pili ilianza tarehe 11 mpk 17 May? Leo tarehe 20 na hayapo kwenye website yao au walimu waende wakayaangalizie huko dodoma tamisemi au ni nini!
Siasa kila kona,.
kazi ipo
 
Mwaka jana hawa kufanya ivo
mimi nina ushahidi wa watu ndo mana naongea hvyo siongei hvi ilimradi tu....nmeshuhudia washkaji wakirudi mwaka jana na wamesapua wanapigania kuajiliwa nw
 
Kesho mapema tu Tamisemi

Walioenda jana hawakumkuta katibu mkuu wala Mkurugenzi,na waliwakuta baadhi ya akina mama ambao walikaimu kwa muda,majibu yao yalikuwa hivi"vuteni subira ndio wanaingiza majina yenu kwenye website mtayaona".Kwa mantiki hii wakuu naomba tusubiri mpaka tarehe 24 then J tatu twende na tujipange tusiwe na papala tuandae hoja,binafsi nimesikia kuna baadhi ambao walisap kama ss ila wameajiriwa nataka nitengeneze swali mwenye uhakika anieleze na anipe jina la mtu mmoja kwa kuthibitisha,ninayo maswali kibao tukiwa pamoja tutajiset namna ya kuwasilisha hoja.
 
Back
Top Bottom