Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Njia ya mwongo ni fupi,ipo cku watajua kuwa dunia ya leo uongo ni adui asiyevumilika.wengi wao wanajitia upofu ilihali wanayo macho!!!! Inasikitisha kweli.
 
kuna jamaangu alimaliza bunda ttc lkn hakusap alinambia kuna watu wengi alimaliza nao wamesap ila wamepangiwa sasa hapo inakuaje aliefanya sap akafaulu hayumo
 
ikumbukwe niwiki mbili Sasha zimepita tangu mseme majina ya walimu yatatoka lakini kimya wala hakuna taarifa juu ya kuchelewa huku, sasa mpaka tuandamane kuja ofisini? taarifa nimuhimu sana kuliko kukaa kimya je, nilini tutapewa ajira zetu?
 
serikali imezoea maandamano ndo itende kazi au, maana inashindwa tekeleza ahadi zake yenyewe
 
ikumbukwe niwiki mbili Sasha zimepita tangu mseme majina ya walimu yatatoka lakini kimya wala hakuna taarifa juu ya kuchelewa huku, sasa mpaka tuandamane kuja ofisini? taarifa nimuhimu sana kuliko kukaa kimya je, nilini tutapewa ajira zetu?



hivi ni waalimu tu ambao hawajaajiriwa au na facaulty naona vilio sana. waloajiriwa hawajalipwa unafikir wataajir tena?
 
hivi ni waalimu tu ambao hawajaajiriwa au na facaulty naona vilio sana. waloajiriwa hawajalipwa unafikir wataajir tena?

Hakuna hawa lazima tuandamane na kujitoa sadaka mbona wanaelewa tu,kwani vyuo vikuu wamefanyaje na leo hela zao ziko tayari,lazima uvunjifu wa amani utokee ndio wataelewa si ndivyo walivyojizoesha mpaka tugombane.Kuajilowa waalimu ni haki yetu sio kama fakati zingine na ndio maana hata wao wanajishuku kwa kutusahau.Shule ni nyingi kuliko mahakama,hospitali vituo vya jeshi nk.Hivyo wataelewa tu subiri jpili ifike wawe hawajatoa post j tatu tamisem
i wataeleza nini tatizo pale Dodoma.
 
Doh Lazma Kieleweke Tu. Wa2 Tumeenda Jkt Kuumia Alaf Ajira Wame2sahau?

Twendeni dodoma j tatu wote kwa pamoja tuhamasishane tupiganie haki zetu.Ccm sasa ni balaa kila wizara ni mapungufu tu,tusikubali jamani na mwezi wakumi tusiwafumbie macho hawa inabidi wapumzike maana wamechoka sana mpaka wanasahau wajibu wao.Kwa pamoja tuseme HAPANA CCM.
 
Hakuna hawa lazima tuandamane na kujitoa sadaka mbona wanaelewa tu,kwani vyuo vikuu wamefanyaje na leo hela zao ziko tayari,lazima uvunjifu wa amani utokee ndio wataelewa si ndivyo walivyojizoesha mpaka tugombane.Kuajilowa waalimu ni haki yetu sio kama fakati zingine na ndio maana hata wao wanajishuku kwa kutusahau.Shule ni nyingi kuliko mahakama,hospitali vituo vya jeshi nk.Hivyo wataelewa tu subiri jpili ifike wawe hawajatoa post j tatu tamisem
i wataeleza nini tatizo pale Dodoma.

Hali halisi ni kwamba walimu tumejaa huku mashuleni hadi vijijin walimu hatuna vipindi sijui nyie mnataka kuja kufanya kazi gani huku. Labda mjikusanye muombe mikopo kuliko kuandamana
 
yaan kwel zisipotoka wiki hii nikuwaibukia huko

Wahanga wa ajira ya ualimu mnaarifiwa kuwa siku ya Jtatu tarehe 25/5/2015 kutakuwa na maandamano Dodoma kwenye jengo la TAMISEMI ili kudai haki yetu ya ajira.Mjulishe na mwenzio ili kuimarisha umoja wetu.
 
Hali halisi ni kwamba walimu tumejaa huku mashuleni hadi vijijin walimu hatuna vipindi sijui nyie mnataka kuja kufanya kazi gani huku. Labda mjikusanye muombe mikopo kuliko kuandamana
wee jamaa ni janga tena sio kidogo,unafikiri kwa kutumia makalio
 
Hali halisi ni kwamba walimu tumejaa huku mashuleni hadi vijijin walimu hatuna vipindi sijui nyie mnataka kuja kufanya kazi gani huku. Labda mjikusanye muombe mikopo kuliko kuandamana

Acha upumbavu wako wewe, mmejaa na bibi yako jinga sana
 
jamani jtatu kwapamoja tukutane dodoma, ikibidi mpk bungeni japo hatutaruhusiwa kuingia ila vyombo vya habari vipo ujumbe utafahamika na kufika, nahatimae tutaweka kambi ofisi za tamisemi
 
Hali halisi ni kwamba walimu tumejaa huku mashuleni hadi vijijin walimu hatuna vipindi sijui nyie mnataka kuja kufanya kazi gani huku. Labda mjikusanye muombe mikopo kuliko kuandamana


Juzi juzi tu ulikua unalalamika ajira zimecheleweshwa Leo umepata umesahau wenzio wanaoteseka Kama ulivyoteseka wewe!! hii ndio roho ya unyani inayotesa waafrika wengi ikiwemo viongozi waliokulia kwenye shida wakipata nafasi wanawatukana na kuwasahau waliosota nao!!!

Nyani wewe
 
Poleni aisee ila nawasikitikia waliomaliza mwaka huu mana kuna dalili za kuachwa kabisa.
 
huu uhuni wa tamisemi hauvumiliki walimu wote twenden tamisemi dodoma.
 
Hali halisi ni kwamba walimu tumejaa huku mashuleni hadi vijijin walimu hatuna vipindi sijui nyie mnataka kuja kufanya kazi gani huku. Labda mjikusanye muombe mikopo kuliko kuandamana

Unachokisema ni ukweli 90% ila najua kuna watu watakubeza tu!! Walimu ni wengi sana hadi imefika point kuna baadhi ya sehemu kuna ziada ya walimu. Niliwahi kuliongelea hili swala nikatolewa maneno makali sana.
 
Back
Top Bottom