Kutokana na baadhi ya maelekezo ambayo yalitolewa na watu wenye MAMLAKA - OWM- TAMISEMI kuwa kwa baadhi ya walimu ambao majina yao hayakuonekana ktk awamu ya kwanza na wanavyo vigezo kamilifu vya kupata ajira zao lakini hawakupata basi majina yao yataoneka kwenye tovuti ya wizara hiyo nyeti baada ya wiki MBILI,, sasa swali langu ni kwamba wiki mbili tayari zimeshapita but hakuna tamko lolote lile ambalo nimeshatolewa dhidi ya wahanga hao! Je unadhani wahanga hao wako ktk hali gani?
nanukuu maneno ya mkurugenzi mkuu Tamisemi"Ndugu walimu tuaminini ili na sisi tujiaminishe kwenu kwani mie ninaeeongea hapa ni mamlaka "
Hayo ndio yalikua maneno yake mjini dodoma....mkuu mbona umeaminiwa lakini hutaki kujiaminisha kwa ndugu walimu?
Anyway Tumetoa trend up to 21 kama hakutakua na tamko basi itabidi rai waje hapo ofisi ndogo ya dar kuuliziaa muafaka wa walimu/ wahanga hao.
NB:vielelezo kuwa walisema watatoa wiki hii ninavyo vyakutosha yaani picha,video na audio.
Naomba kuwasilisha