Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Ajira ualimu awamu ya pili kutolewa tarehe 20

Wahanga wa ajira ya ualimu mnaarifiwa kuwa siku ya Jtatu tarehe 25/5/2015 kutakuwa na maandamano Dodoma kwenye jengo la TAMISEMI ili kudai haki yetu ya ajira.Mjulishe na mwenzio ili kuimarisha umoja wetu.

hii nchi watu wanatutesa sana
 
jamani jtatu kwapamoja tukutane dodoma, ikibidi mpk bungeni japo hatutaruhusiwa kuingia ila vyombo vya habari vipo ujumbe utafahamika na kufika, nahatimae tutaweka kambi ofisi za tamisemi

Ikibidi twende mpaka bungeni hili wazo zuri na hasa wale wahusika wa TAMISEMI wasipokuwepo ofisini tutamfuata pinda Bungeni na hili lazima watangaze kwenye vyombo vya habari kwamba wanatuajiri lini.Jamani tuungane na tutatembea barabarani bila woga wala kuwaogopa wanaojifanya wanamamlaka wakisahau kuwa sisi ndio tuliowapatia mamlaka hayo.Nchi hii bila maandamano hakuna haki.Tutaanza ofisini TAMISEMI mpaka bungeni ikiwezekana na tusikubali mpaka nchi nzima ijue hatma yetu hiyo Jtatu na sio vinginevyo.
 
Nchi hii bila kupigwa mabomu kwanza huwezi kupata haki yako kabisa na hapa ndipo tulipofikishwa.
 
KILA MMOJA AWE DODOMA JPILI ILI JTATU TUWAHI TAMISEMI saa 2 wote tuwe pale in order to organize OURSELVES on how to do.Tuwasamehe hawa wanaocoment matapishi,maharagwe yanawasumbua wameanza kuchafua hewa wanahara hovyo.
 
HAWA TAMISEMI wanamambo ya kijinga sana kwa maana haiwezekani wadanganye walimu wote cc tuliokuwa tumeenda cku ile tukutane jumatatu dodoma
 
Ni bora wangetoa basi taarifa huu ukimya sio utawala bora ni ubabaishaji ni bora wasigetuahidi hizo wiki zao 2.
 
Hivi nyie mnaosema nafasi zmejaa nyie ndo TAMISEMI? Tumieni uelewa wa kawaida mbona awali tulisotea wote???? Kuweni na ubinadamu nyie mapimbi??
 
Mkono wa Allah upo nanyi na majina ya naenda kutoka leo hii
 
hao wanaopotosha wapuuzeni tu,washasahau kuwa walikuwa hapa wanauliza na kusota vlevle
 
Hawajamaa wanajiamini nini sana??? Maana tutaenda kuharibu hali ya hewa tukifika DODOMA kwa mara ya pili
 
Kama kunamtu anaweza kuangalia kwa sasa aangalie kunajamaa anasema wameachia! Hebu tushirikiane kucheki
 
Back
Top Bottom