Mapesa Molofu
Member
- Mar 29, 2015
- 39
- 0
Mkuu vipi mbona watu washaanza kujua mpaka post zao japo kwa kuchungulia sana kwa mbaaaaaaali,we penya tu utaziona.
kazi ipo.
Mkuu vipi mbona watu washaanza kujua mpaka post zao japo kwa kuchungulia sana kwa mbaaaaaaali,we penya tu utaziona.
Tayari kuna mkubwa ameshani PM tarehe ya pos
mmhu hebu tuambie ni ln mkuu?
Maulid alituahidi tar 15 mpk sasa kimya naona anataka kutuchezea akili.
Maulid alituahidi tar 15 mpk sasa kimya naona anataka kutuchezea akili.
Tayari baadhi ya walimu walioahidiwa kuajiriwa baada ya awamu ya pili wameshafika Tamisemi makao makuu kuuliziaa hatima yao.
Maana serikali iliwaahidi kutoa orodha majina yao baada ya wiki mbili
Kama kuna mtu mwenye ujasiri wa kuongea na mkurugenzi mkuu Tamisemi aje PM nimpe namba yake apige na atapata majawabu yote
Mi ninayo ila huwa hapokei cm kabisa chichimizi
Hiyo ndio taarifaaaa