AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Unazitaka pesa za majini? utaweza masharti yake?
Ukinitajia hayo masharti nitatafakari
Unazitaka pesa za majini? utaweza masharti yake?
Huwezi hata Sharti moja Mkuu sio Rahisi kabisa kuweza hayo masharti. Moja ya sharti ni kuwa kama una mtoto unaye mpenda umuuwe au kama una mama yako mzazi umuuwe ndio uwe tajiri utaweza?Ukinitajia hayo masharti nitatafakari
Huwezi hata Sharti moja Mkuu sio Rahisi kabisa kuweza hayo masharti. Moja ya sharti ni kuwa kama una mtoto unaye mpenda umuuwe au kama una mama yako mzazi umuuwe ndio uwe tajiri utaweza?
Ndio hutaweza kuwa na Utajiri wa Majini usipo uwa watakuuwa wao wenyewe wanaokupa huo utajiri.Nisipomuua itakuwaje?
Ndio hutaweza kuwa na Utajiri wa Majini usipo uwa watakuuwa wao wenyewe wanaokupa huo utajiri.
sasa ukifa utagawa vipi tena wakati wewe umeshakufa? Watarithi ndugu zako huo utajiri lakini hauta dumu utakwenda zake kama ulivyokwenda wewe .......................Achana nazo fikira za utajiri wa majini huwezi masharti yake kamwe......................Wataniua lakini na mimi nitaugawa huo utajiri kwa maskini na taasisi za dini
sasa ukifa utagawa vipi tena wakati wewe umeshakufa? Watarithi ndugu zako huo utajiri lakini hauta dumu utakwenda zake kama ulivyokwenda wewe .......................Achana nazo fikira za utajiri wa majini huwezi masharti yake kamwe......................
Kwa hiyo huyo mganga alimsaidiaje yani kupata hiyo ajira? Sometimes napenda sana kufahamu hizo kitu zina work vipi. Alimkonnect na mteja wake ambaye ni bosi akampatia hiyo ajira? alimwajiri yeye kama yeye? How? Mtu yeyote anayefahamu haya mambo atupe madesa tufahamu juu ya hii sayansi asee.
Mawazo mazuri hayo ndugu .Achana na utajiri wa Mashetani mwisho wake kukumaliza uhai wako tu.Bora kuchacharika mwenyewe. There's no free lunch
Mi ninayojua mganga huo yupo kinyume na imani za kidini. Sasa ukienda atakuombea kwa Mungu yupi na wakati yu tayari ashajitenga na imani ya mungu?Kwa ufupi tu kwenda kwa mganga ili akuombee mambo yako yawe imo himo ndio inayotakiwa sio kitu kigeni katika maisha yetu ni sawasawa mtu kwenda kwenda kwa mchungaji aombee duwa ili mambo yake yawe. Ni kitu cha kawaida hakuna kitu cha kushangaa upo pamoja na mimi?
Na usingelikuwa na matatizo usingelikwenda kwake? Sasa ulitaka akale wapi? Kama unajuwa kweli hakuna zaidi ya JEHOVAH BABA kwanini wewe umekwenda kwa mganga? ungelimngojea huyo JEHOVAH BABA akusaidie basi.
Hujaumwa wewe ukiumwa utakwenda mwenyewe hapa una haki useme hivyo Waswahili wanasema Adhabu ya kaburi aijuaye ni maiti. Mpaka utakapopatwa na matatizo utakwenda wewe mwenyewe kwa mganga pasipo kujuwa mtu.
MziziMkavu ni witch dokta kwa maana hiyo ni sangoma vilevile. Ndio maana yuko bize kutetea uozo hapa, atawapata haohao mafool wa imani.Zamani za ujinga hizo Mkuu. Ila kwasasa Nawaona kama ma.vi kabisa. Vp mkuu na wewe ni WITCH DOCTOR au Sangoma kabisa?
Ngojea utembee na mke wa mtu kisha uende hospitali kupigwa sindano kama utapona jaribu kutembea na mke wa mtu hapo Mjini Dares-salaam kisha uende Hospitali ya Muhimbili ukatibiwe kama hatukupeleka makaburini ukaitwa jina la Marehemu. Usicheze na Waganga wa kienyeji wewe watakumaliza na Silaha zao za siri.Mahospitali yote yaliyopo, niende kwa mpiga ramli? Anayekisia ugonhjwa? Better to die kama Mungu kashndwa kuniponya.
Mimi sitetei mambo ya Uganga wa kienyeji mimi ninachosema ni ukweli wewe ukibisha au ukikubali shauri yako sijakulazimisha maneno yangu uyakubali.MziziMkavu ni witch dokta kwa maana hiyo ni sangoma vilevile. Ndio maana yuko bize kutetea uozo hapa, atawapata haohao mafool wa imani.
Mim sio Witch Doctor wala Sangoma mimi ni MziziMkavu Hauchimbwi dawa wapo humu Waganga wa Kienyeji wanakusikilizeeni kwa umakini kabisa. Watukaneni wao wapo tu wanakusikilizeeni tu .Zamani za ujinga hizo Mkuu. Ila kwasasa Nawaona kama ma.vi kabisa. Vp mkuu na wewe ni WITCH DOCTOR au Sangoma kabisa?
Hebu nipe maelezo kwa kirefu kuhusu Mganga yupo vipi kinyume na imani na Dini? kwani wewe unavyo juwa ni nini maana ya neno Uganga? hebu nipe jibu nione upeo wa akili yako hapo?Mi ninayojua mganga huo yupo kinyume na imani za kidini. Sasa ukienda atakuombea kwa Mungu yupi na wakati yu tayari ashajitenga na imani ya mungu?
Uganga kazi yake kubwa sio kuwadhuru watu hapo umekosea kama kitu hujuwi jaribu kuulizaUganga hauna matatizo kama hautatumika kuwadhuru watu wengine, ila pindi unapodhuru watu wengine uitwa uchawi, kuna uchawi na uganga mkali sana kule haiti na afrika magharibi unaitwa vodoo magic au juju inategemea tu unatengenezwa kwa manufaa ya kudhuru au kutibia.
Uchawi umekuwepo tangu miaka dahari na hata vitabu lukuki vya dini mbalimbali vimekiri uwepo wake. Tatizo limekuwa matumizi yake.
Huwezi hata Sharti moja Mkuu sio Rahisi kabisa kuweza hayo masharti. Moja ya sharti ni kuwa kama una mtoto unaye mpenda umuuwe au kama una mama yako mzazi umuuwe ndio uwe tajiri utaweza?