excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,449
- 17,918
Nyinyi munaishi ulimwengu upi? Kuna uchawi, utibabu na mengineyo mengi siwewzi
kusema hapa ni siri za Waganga kwa hiyo mtu kwenda kwa mganga ili aombewe Dua mambo yake tawe mazuri kwa mfano apate cheo
kazini au ashinde uchaguzi au biashara yake ifunguke apate wateja au mambo yake yawe mazuri afunguliwe nyota za bahati yake hayo
mambo yote yapo katika ulimwengu huu hata wazungu wanaroga kama tunavyoroga sisi hakuna kitu cha ajabu mtu kwenda kwa
mganga afanyiwe dua apate kazi kawazi kwenu mnaoamini au msio amini mchanga wa pwani huo mimi simo.
mkuu mbona sikuelewi!
for sure sielewi kabisa!