Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Jana wakati nipo kwenye daladala natoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine mmoja wa abiria aliyekuwepo ndani ya daladalaalikuwa akiongea na mtu ambaye baadaye tulikuja kufahamu kuwa ni kaka yake.
Katika maongezi yao, huyo abiria alikuwa akimuomba huyo kaka yake hela na kaka yake akamchomolea basi baada ya kukata simu yule jamaa akawa anaongea na rafiki yake pembeni kitu ambacho ndiyo kimenifanya nilite hii maada, ALISEMA ''Huyu bro we muache tu, alihangaika sana kutafuta ajira, ametafuta zaidi ya miaka mitatu mimi ndiyo NILIMPELEKA KWA MGANGA mpaka akapata hiyo kazi lakini hana hata shukrani hajawahi kunipa hata shilingi moja''
Baada ya hayo maneno ndiyo nikafunguka kuwa kumbe kuna watu wanakesha kwa waganga wakitafuta kuwezeshwa wapate ajira.
Vipi wewe mwenzangu na mimi? Baba yako si lolote wala chochote, kichwani hauna kitu, Mungu haumuabudu, kwa waganga hauendi,
NI LINI UTAPATA AJIRA?
Namaliza kwa kusema MUNGU WA WOTE.
Katika maongezi yao, huyo abiria alikuwa akimuomba huyo kaka yake hela na kaka yake akamchomolea basi baada ya kukata simu yule jamaa akawa anaongea na rafiki yake pembeni kitu ambacho ndiyo kimenifanya nilite hii maada, ALISEMA ''Huyu bro we muache tu, alihangaika sana kutafuta ajira, ametafuta zaidi ya miaka mitatu mimi ndiyo NILIMPELEKA KWA MGANGA mpaka akapata hiyo kazi lakini hana hata shukrani hajawahi kunipa hata shilingi moja''
Baada ya hayo maneno ndiyo nikafunguka kuwa kumbe kuna watu wanakesha kwa waganga wakitafuta kuwezeshwa wapate ajira.
Vipi wewe mwenzangu na mimi? Baba yako si lolote wala chochote, kichwani hauna kitu, Mungu haumuabudu, kwa waganga hauendi,
NI LINI UTAPATA AJIRA?
Namaliza kwa kusema MUNGU WA WOTE.