Ajira mpya serikalini

Ajira mpya serikalini

Tumetofautiana sana,wakati mimi namalizia chuo nilitaka kujiajiri(though sikuwa na mtaji tangible)lakini wazazi walinigomea sana nikaona isiwe tabu nikaingia ajirani kwa shingo upside, kwasababu nature ya kazi yangu inanipa nafasi ya kufanya mawili matatu nje ya ajira ninaendelea though akili yangu haijafunga ndoa ya kudumu na kazi hii ipo siku chini ya miaka kumi nitachomoka,siwezi kusema kila mtu atajiajiri lakini kama una wazo anza kidogo kwa shida hivyo hivyo hautajutia maamuzi yako,pia serikali ina wajibu wa kutoa ajira na kutengeneza mazingira ya ajira zisizo rasmi
 
Hizo ni ajira hewa, kwa hakika mwaka 2017/18 hamna ajira.
Kwa tunaojua kucheza karata tunasema Tanzania tumeramba Joker.
Sisi tuliokwepa kuendelea na elimu ili tukabe ajira serikalini mapema tulionekana hatuna dira. Na wife wangu mitaani siku ninapokutana na washkaji wangu waliopiga bachelor jinsi walivyochoka nikimwambia wife mjamaa nimesoma naye ila yeye alinyoosha university mimi nikasitisha kusoma ili niajiriwe kwanza ili nipate kujiendeleza mbele ya safari ananiona ni kama nabii hivi.
 
Tumetofautiana sana,wakati mimi namalizia chuo nilitaka kujiajiri(though sikuwa na mtaji tangible)lakini wazazi walinigomea sana nikaona isiwe tabu nikaingia ajirani kwa shingo upside, kwasababu nature ya kazi yangu inanipa nafasi ya kufanya mawili matatu nje ya ajira ninaendelea though akili yangu haijafunga ndoa ya kudumu na kazi hii ipo siku chini ya miaka kumi nitachomoka,siwezi kusema kila mtu atajiajiri lakini kama una wazo anza kidogo kwa shida hivyo hivyo hautajutia maamuzi yako,pia serikali ina wajibu wa kutoa ajira na kutengeneza mazingira ya ajira zisizo rasmi
Umejibu kisomi...heshima kwako
 
Naumgana na ww mtoa post kila cku yanazuka mambo mapya xaxa kweny wenye vyet fek mbona mapolice na wanajesh hawaingiliw kunani nyuma ya paazia?
 
Fuga......mbona fursa zipo ........

Umesoma ili upanue akili, uongeze maarifa

Kama ulisoma kwa ajiri ya kuajiriwa....... Mmmhhh hapo kuna kunena kwa lugha
 
Naumgana na ww mtoa post kila cku yanazuka mambo mapya xaxa kweny wenye vyet fek mbona mapolice na wanajesh hawaingiliw kunani nyuma ya paazia?
Nikujuvye kilichopo nyuma ya pazia, uhakiki haukupita vikosini kwa sbb ,Makufuli alipoingilia swala hili la usaili vikosini wazee wakubwa wskamfata na kumwambia iwapo tutafanya usaili na tukawaweka uraiani wanajeshi ,ujambaz utakuwa mkubwa ktk taifa (inatosha)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom