Ajira mpya serikalini

Ajira mpya serikalini

Wadau naomba kuhoji..hivi june 30 ni mbali?
Selikali ilisema itatoa ajira mpya 9932 kwa ajili ya kufidia watumishi hewa walio ondolewa kabla ya june 30.

Na ifikapo mwez wa saba watatoa ajira zingine elf 50 na kitu.
Sasa mpaka leo mimi naona kimyaaaa na wala hakuuna tetesi.

Hivi tulisoma ili tupoteze muda au vp.

Najua wengi mtasema jiajiri.

Swali ni je mtaji naupataje ikiwa kupata 500 tu ktk awami hii ya tano ni mziki.

Nikalime ? Pembejeo serikali haitoe,,,masoko hovyooo.

Swali kwa wizara...sjira zipo hazipo.
Nawasilisha
Kama huna 500 uza hyo cm au pc unayotumia kuingia humu jf then anzisha kijibiashara kitakuinua
 
Kuna baadhi ya watu niliwaambia kuwa msitegemee ajira hivi karibuni wakanibishia.

Mkuu uhakika wa ajira tegemea 2019 karibu na uchaguzi mtaajiriwa wengi sana ili kusaidia uchaguzi ila ukipata uombe sana Mungu ziwe za permanent kwasababu hii serikali unaweza ajiriwa leo baada ya mwaka ikasema haikutambui.
 
mkuu tafta hata private sector angalau ujishkize kwa sasa bila ivy 500 lazima ikushinde
 
Hakuna ajira.

Zile ni kama nyimbo za kimbebelezea mtoto alale.

Watazunguka mwisho watasema ukweli kama walimu wa sanaa.

Ni aibu kwa serikali kudanganya wananchi wake.

Wadau naomba kuhoji..hivi june 30 ni mbali?
Selikali ilisema itatoa ajira mpya 9932 kwa ajili ya kufidia watumishi hewa walio ondolewa kabla ya june 30.

Na ifikapo mwez wa saba watatoa ajira zingine elf 50 na kitu.
Sasa mpaka leo mimi naona kimyaaaa na wala hakuuna tetesi.

Hivi tulisoma ili tupoteze muda au vp.

Najua wengi mtasema jiajiri.

Swali ni je mtaji naupataje ikiwa kupata 500 tu ktk awami hii ya tano ni mziki.

Nikalime ? Pembejeo serikali haitoe,,,masoko hovyooo.

Swali kwa wizara...sjira zipo hazipo.
Nawasilisha
 
msomi mzima unashindwa hata kupata 500 ?? kwa siku hata kuajiriwa ufai huna ubunifu utatia hasara tu serikali

Hayo maneno unaongea huku umekaa kwenye kiti cha mwaka 1960 Upo kwenye ofisi ya mtendaji wa kijiji na wanakijiji wanakutegemea wewe ndio afisa mtendaji wa kijiji.
 
msomi mzima unashindwa hata kupata 500 ?? kwa siku hata kuajiriwa ufai huna ubunifu utatia hasara tu serikali
Angalia mafanikio yako yalikuajee...wakati unaanza....
Km ulpata mteremko kaa kimyaa tuu kaka dharau hazifai
 
Hayo maneno unaongea huku umekaa kwenye kiti cha mwaka 1960 Upo kwenye ofisi ya mtendaji wa kijiji na wanakijiji wanakutegemea wewe ndio afisa mtendaji wa kijiji.
Vzr sn mr j....haelew huyoooo chochote
 
Hakuna ajira.

Zile ni kama nyimbo za kimbebelezea mtoto alale.

Watazunguka mwisho watasema ukweli kama walimu wa sanaa.

Ni aibu kwa serikali kudanganya wananchi wake.
Aibu kubwaaa na itawacost mbelen
 
Kuna baadhi ya watu niliwaambia kuwa msitegemee ajira hivi karibuni wakanibishia.

Mkuu uhakika wa ajira tegemea 2019 karibu na uchaguzi mtaajiriwa wengi sana ili kusaidia uchaguzi ila ukipata uombe sana Mungu ziwe za permanent kwasababu hii serikali unaweza ajiriwa leo baada ya mwaka ikasema haikutambui.
Unaona mbali aseee
 
Wadau naomba kuhoji..hivi june 30 ni mbali?
Selikali ilisema itatoa ajira mpya 9932 kwa ajili ya kufidia watumishi hewa walio ondolewa kabla ya june 30.

Na ifikapo mwez wa saba watatoa ajira zingine elf 50 na kitu.
Sasa mpaka leo mimi naona kimyaaaa na wala hakuuna tetesi.

Hivi tulisoma ili tupoteze muda au vp.

Najua wengi mtasema jiajiri.

Swali ni je mtaji naupataje ikiwa kupata 500 tu ktk awami hii ya tano ni mziki.

Nikalime ? Pembejeo serikali haitoe,,,masoko hovyooo.

Swali kwa wizara...sjira zipo hazipo.
Nawasilisha
hizi ajira 9932, ni zile ambazo zilikuwa pendingi, kwa maana walipata barua kutoka secretariate ya ajira, lakini hawakuwa na check #, wala applicant #, hivyo, kuna tamko limetoka utumishi, kuwa waajiliwe na ajira zao zinaanza rasm tarhe 1 june 2017, kimsingi mtoa maada na mimi nimiongon mwa waajiriwa wapya ambao imenichukua takribani mwaka mmoja mpka kunufaika na maelekezo hayo ya june mos
 
Back
Top Bottom