Ajira mpya serikalini

Ajira mpya serikalini

Kabilimya

Member
Joined
May 25, 2017
Posts
73
Reaction score
24
Wadau naomba kuhoji..hivi june 30 ni mbali?
Selikali ilisema itatoa ajira mpya 9932 kwa ajili ya kufidia watumishi hewa walio ondolewa kabla ya june 30.

Na ifikapo mwez wa saba watatoa ajira zingine elf 50 na kitu.
Sasa mpaka leo mimi naona kimyaaaa na wala hakuuna tetesi.

Hivi tulisoma ili tupoteze muda au vp.

Najua wengi mtasema jiajiri.

Swali ni je mtaji naupataje ikiwa kupata 500 tu ktk awami hii ya tano ni mziki.

Nikalime ? Pembejeo serikali haitoe,,,masoko hovyooo.

Swali kwa wizara...sjira zipo hazipo.
Nawasilisha
 
Zile ajira za kuziba pengo la watumishi hewa mbna kimyaa.

Nauliza. Tamisemi mtuambie
 
Unawaamini watwawala? Subiri 2019 mwishon utapata hzo ajira
 
Haya ndo matatizo ya kusoma ili uajiriwe... Vjana wa sasa someni ili muwe na uwanja mpana wa uelewa na kufikiri... Sera za CCM ni kujaliana wao tu na sio nyie vijana wa hali ya chini... Mnapokuwa chuo anzishen vijimiradi vidogo vidogo kutokana na pesa kidogo mnazopata badala ya kununua misimu na miredio mikubwa, jifunzen kubana matumizi. wachumi wana theory ya want and need... Huo ndo ushauri wangu kwenu ambao bado mko vyuoni...
 
Bado tupo jikoni tunapika ajira suburi ziive kijana
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom