Ajira imekuwa changamoto baada ya kusoma bsc. Environmental studies

MATEO GODFREY

Member
Apr 7, 2014
33
53
Wadau ninamiaka karibu Sita mtaani bila ajira Rashmi japo nimejitahidi Sana kufanya shughuli zangu zingine za Computer maintenance niliojifunza mtaani japo bado kipato hakijitoshelezi.

Kilio changu ni hiki Cheti cha Degree sijui nikifanyie nini? Maana nimetumia nguvu kubwa Sana kupata alaf mwisho wasiku hakina kazi tena kujiajiri kupitia taaluma yangu ingekuwa ngumu sana.

Je, ni fani gani mbadala inayoweza kuwa mkombozi Kwa gharama nafuu na Muda mfupi?
 
Mkuu hongera sana kwa degree ulionayo mkuu ninachokuhasa tu ni kwamba maisha hayana formula.kuna jamaa angu mm japo tumemaliza shule miaka minne iliyopita,hajawahi kwnda kuchukua cheti chake na hata hafikirii alijiimalisha mtaan kwa kuangaika na fursa za mtaa connection na mengneyo nadhan bro kinachokuumiza kichwa si nn unaweza kufanya ilani hilo wazo la ajira kichwani...ebu futa hayo mawazo tafuta eneo sahihi la kufanya hzo issue zako za computer na clnnection utasahau hlo karatas linalokuumiza kichwa mkuu
 
Wadau ninamiaka karibu Sita mtaani bila ajira Rashmi japo nimejitahidi Sana kufanya shughuli zangu zingine za Computer maintenance niliojifunza mtaani japo bado kipato hakijitoshelezi.

Kilio changu ni hiki Cheti cha Degree sijui nikifanyie nini? Maana nimetumia nguvu kubwa Sana kupata alaf mwisho wasiku hakina kazi tena kujiajiri kupitia taaluma yangu ingekuwa ngumu sana.

Je, ni fani gani mbadala inayoweza kuwa mkombozi Kwa gharama nafuu na Muda mfupi?
Anzisha NGO ya mambo ya mazingira
 
Mkuu pole sana ila usikate tamaa hujachelewa kuna jamaa alimaliza SUA food science alikaa miaka mitano mtaani anaendesha uber ila alikuja kuajiriwa mwaka jana na Tanzania diary board,
Ila nakushauri mkuu utafute cheti cha OSHA kile cha mambo ya safety itakusaidia sana na fani yako.
 
Back
Top Bottom