Ngunya1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 406
- 642
jamani nimekaa natafakari hapa mpka kichwa kinauma ajira hakuna umri ndo unaenda serikali bado haija maliza uhakiki,?? jamani awamu ya 5 hebu tuoneeni huruma vijana basi maisha magumu mtoe hata za police tu au nursing na walimu tutaenda wapi ? viwandani wa Hindi hawatoi mikataba ni mateso tu