NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Hii habari haina impact yoyote kwa Simba,nyinyi endeleeni na mipasho Simba inakusanya mataji.Sisi hayatuhusu kama ni muongo nendeni mkamshitaki maana simba na Mo hawa wote ni taasisi kubwa sn nenden mkamshtaki km ni muongo View attachment 1858976