Ajenda za CHADEMA zilizojadiliwa Ikulu

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.

Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.

CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.

Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
 
Maazimio yako wapi?

Yaani mwisho wa kikao wakatoka na kitu gani cha kufanyia kazi kwa pamoja?

Au ndiyo yaleyale ya "Rais amesikia na atayafanyia kazi yaliyojadiliwa kwenye kikao hicho..?"

Kama ni hivi, basi hivi vinavyoendelea huko haviwezi kuitwa vikao vya majadiliano na maridhiano..!

Majadiliano & maridhiano maana yake, kila mtu anaweka mezani makwazo (grievances) zake, yanajadiliwa kwa pamoja, mnakubaliana tuache lipi na tuende mbele na lipi kwa pamoja..

Na mwisho kila upande unaondoka na kuanza kutekeleza makubaliano...

Je, hiki ndicho kinacho/kitakachofanyika kupitia vikao vyao hivi?
 
1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.

Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.

CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.

Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Hizo mbili za kwanza ccm hawaweZi kukubali piga ua
 
1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.

Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.

CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.

Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Yani walipeleka agenda iliyopo mahakamani? CHADEMA wnamwomba mama asiheshimu utawala wa sheria?

Suala la wabunge 19 lipo mahakamani na halipaswi kujadiliwa
 
Maazimio yako wapi?

Yaani mwisho wa kikao wakatoka na kitu gani cha kufanyia kazi kwa pamoja?

Au ndiyo yaleyale ya "Rais amesikia na atayafanyia kazi yaliyojadiliwa kwenye kikao hicho..?"

Kama ni hivi, basi hivi vinavyoendelea haviwezi vikao vya majadiliano na maridhiano..!

Majadiliano & maridhiano maana yake, kila mtu anaweka mezani yanayomkwaza, yanajadiliwa kwa pamoja, mnakubaliana tuache lipi na tuende mbele na lipi kwa pamoja..

Na mwisho kila upande unaondoka na kuanza kutekeleza makubaliano...

Je, hiki ndicho kinacho/kitakachofanyika kupitia vikao vyao hivi?
Hizi ni ajenda tusubiri maazimio.
 
🐃🐃

Screenshot_2022-05-21-08-02-50-555_com.twitter.android.png
 
Kwenye suala la akina Halima, mnamuomba Rais avunje Sheria aingilie muhimili wa mahakama? Sasa zamu yenu kuomba maelekezo kutoka juu kwenye maamuzi ya mahakama zetu?
Hakuna aliyeombwa kuhusu suala la covid 19. Ni kwamba wamefukuzwa kwenye chama cha CHADEMA. Serikali ndiyo inavunja katiba ya nchi na sheria zake kwenye hili suala.

CHADEMA wameshasema wamefurahia hili suala kupelekwa mahakamani kutafuta na kutoa tafsiri za kisheria hadharani.

Serikali usithubutu kuondoa hii kesi mahakamani kama walivyofanya kwenye kesi ya Mbowe.
 
Kwenye suala la akina Halima, mnamuomba Rais avunje Sheria aingilie muhimili wa mahakama? Sasa zamu yenu kuomba maelekezo kutoka juu kwenye maamuzi ya mahakama zetu?
Watanzania aisee!Umewekewa dondoo tu weye umekuja na hitimisho.Na utaenda hadi kwenye soko la kijiji kutoa hilo hitimisho lako.
 
1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.

Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.

CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.

Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Source yako ni ipi mkuu?

Siyo kwamba ninahoji, bali ni vyema kuupa credibility ya kutosha.
 
Source yako ni ipi mkuu?

Siyo kwamba ninahoji, bali ni vyema kuupa credibility ya kutosha.

Hoja 9 walizobeba CHADEMA kwenye kikao na Rais Samia - Swahili Times​

by swahilitimes about 4 hours ago
Upatikanaji wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, zuio la mikutano ya hadhara na makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni miongoni mwa hoja zilizobebwa na viongozi wa CHADEMA kwenda kwenye kikao cha Rais Samia Suluhu alipokutana na viongozi wa CHADEMA na CCM Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma Mei 20, 2022.

Kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la Tanzania Daima, hoja nyingine ambazo viongozi wa CHADEMA walikusudia kuwasilisha kwenye majadiliano hayo ni suala la wabunge 19 wa viti maalum, suala la ruzuku, usawa wa vyama vya siasa, watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa na usalama wa wanasiasa waliokimbilia nje ya nchi.

Licha ya taarifa hiyo, Ikulu haijatoa taarifa yoyote kuhusu kilichojadiliwa na viongozi hao, lakini kwa kuzingatia vikao vya awali ambavyo Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alikutana na Rais Samia, bila shaka majadiliano hayo pia yalilenga kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.

Kwa upande wa CHADEMA kikao hicho kilihudhuriwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.

Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
 
1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.

Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.

CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.

Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Hoja za Chadema ni zile zile very hoti.

Hatupoi
 
1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.

Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.

CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.

Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Hapa Naona Heche Hajatajwa mbona kama nilimuona?
 
Licha ya taarifa hiyo, Ikulu haijatoa taarifa yoyote kuhusu kilichojadiliwa na viongozi hao, lakini kwa kuzingatia vikao vya awali ambavyo Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alikutana na Rais Samia, bila shaka majadiliano hayo pia yalilenga kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.
Hadaa ya Samia ipo hapa.

Yeye hataki kuzungumzia chochote kuhusu vikao hivi kwa sababu maalum. Lakini wakati huo huo anafanya mambo yanayoonekana kuwa kinyume na yale yanayosemwa na CHADEMA.
Huu ndio "ujanja ujanja wanaopaswa kuweka umakini mkubwa CHADEMA, kwa sababu mwisho wa siku watatupiwa lawama kuwa wao ndio hawataki maridhiano..
 
Ni ajenda za CCM, yalikuwa ni maridhiano baina ya Chadema na CCM.

..Ccm ndio wenye polisi na mahakama.

..sasa walitakiwa wabebe vilio na hoja za mapolisi na mahakama dhidi ya Chadema.

..Ndivyo.maridhiano yanavyotaka. Cdm waeleze wamekosewa wapi. Ccm, mahakama, Polisi nao waeleze kilio chso na madukuduku yao dhidi ya Cdm.
 
Back
Top Bottom