ajari!...ajari....ajari!...... ya kutisha

Kazi ipo, na cl kajua anapendwa, ananataje sasa?? Ol the best wns
 
wivu utawaueni ndugu.
 
Mteja wangu
naomba uni ruhusu nifanye kazi!
 
Naomba utoe ushahidi wa unayo yanena lasivyo tuta dai fidia.


 
Last edited by a moderator:
Ukishikwa shikamana.
Ukipendwa pendeka.
Ningekuwa mimi napendwa hivyo ningempa sharti anijazie full-tank, ndipo nitoke nae Coco-Beach!

PakaJimmy tatizo anampenda mke wa mtu. tena mama mtarajiwa! hajui kwa mke wa mtu sumu, we ngoja aje akutane na polisi jamii. . .
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimeshagundua kwamba mapenzi ya w.n.s kwa cl ni ya dhati sana na anashindwa kuyacontrol kwa sababu mapenzi hayo yanawaka mwilini mwake kama moto wa petroli.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…