ajari!...ajari....ajari!...... ya kutisha

Kamanda unaniangusha Kamanda,unapotea sana Kamanda,inabidi kabla ya mwaka kuisha tuwe tumemuhamisha mtu toka Mwanza kuja Dar Kamanda..
 

RiajaRI RImetokea aROO kiswahili cha kuRE kwa akina nyeReRe
 
Last edited by a moderator:
Wadau mkisikia uongo uliokomaa mpaka ukaota nywele ndo huu. nina kama 3 months natumia simu kuingia jf, siwezi kugonga like kwa yeyote. mtoa mada hebu tupia link ya huo uzi nlio-like. otherwise tutakufungulia kesi ya kuidanganya Jamhuri ya wana chitchat!!!!!!!
 
shukrani zangu zikuendee popote ulipo kwa ajili ya hapo kwenye red.

yaani ungekuwa karibu yangu ningekukimbiza ndio nini sasa kutishana wewe hujui kuwa tunapresha kali tunaposikia ajali ebooo wakati ndio sasa umekuja kuwa hapa mjini wewe... afu ajali yenyewe cg bora hata angekuwa madame b au BT
 
Last edited by a moderator:

mimi nisingelijua jna lake kama sio ye kuandika kuhusu wewe. Kila atakachoandika lazma kikuhusu. Msikilize mwenzio
 

unalo hilo unagongansha magari enh!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…