Nimepigiwa simu na abiria aliyekuwa ndani ya basi hilo muda mfupi uliopita kuwa limewaka moto.Gari ya kampuni ya frester inayotoka kahama inawaka moto muda huu kwenye mizani ya vigwaza!
Nimepigiwa simu na abiria aliyekuwa ndani ya basi hilo muda mfupi uliopita kuwa limewaka mlto.
Picha lilianzia Morogoro lilianza kutoa moshi mwingi likasimama kufanyiwa matengenezo.
Wakaguzi pale Msamvi hawwkutimiza wajibu wao vyema kwa sababu basi liliondoka Msamvu kwa kusuasua mno.
Ajali nyingi zina historia ya uzembe
Mungu ni mwema hakuna maisha yaliyodhurika
Tanzania yetu tunaishi kwa neema ya Mungu. Hatuna maandalizi wala mipango ya kukabiliana na dharura zinapojitokeza...Mungu ni mwema hakuna madhara kwa binadamu, ila unachosema uzembe upo kwa asilimia kubwa sana imagine wakati inaanza kuungua kulikua na magari zaidi ya kumi lakni zikapatikana fire extinguisher mbili tu wengine wote hawana!
Unaipijisha Tiktaka injini ya youtong week nzima unatarajia nini
mpwayungu village amka ukazime motoGari ya kampuni ya frester inayotoka kahama inawaka moto muda huu kwenye mizani ya vigwaza!
Mchongo wa Bima.
Kwani moto umeanzia kwenye engineUnaipijisha Tiktaka injini ya youtong week nzima unatarajia nini