JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,177
- 7,472
Hali hiyo imesababisha mabasi yasimame kwenye foleni kwa urefu wa zaidi ya Kilometa 20 na inavyoonekana foleni inaweza kuendelea kuwa kubwa zaidi.
Jeshi la Polisi limefika eneo la tukio pamoja na viongozi wengine kadhaa lakini bado hali haijakaa sawa, vyomvo vinavyopita ni Bodaboda tu.
Ni bora Polisi waombe vifaa kutoka makampuni yenye vifaa vya kubeba vitu vizito ili kusogeza pembeni magari yaliyopata ajali kwani foleni inazidi kuwa kubwa na kuharibu ratiba za watu watu wengi.