Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 684
...
Leo Dk Mwakyembe kazungumza. Nimemsikia akisema kuwa walikuwa wakijaribu kumpita dereva wa lile lori lakini wakati dereva wa lori lile hakuwa anataka apitwe na gari ya Mwakyembe! Na walipokuwa wakimpita aliongeza mwendo na kusababisha kugongwa na lori kwa nyuma na hivyo kusukumwa na kupinduka. MAelezo ya Dk Mwakyembe yanashabihiana na maelezo ya Dereva wake
Ni kweli ushabiki inabidi usiwepo kwenye mjadala huu. Mkuu Ibrah amenukuu chanzo chake kwamba gari ya Mwakyembe ndio lilikuwa linalipita lorry. Mkuu Pundamilia naye ameleta nukuu (ingawa hajasema chanzo cha habari yake) kwamba ni lorry ndio lilikuwa linalipita gari ya Mwakyembe. Sasa tuamini lipi, gari ya Mwakyembe lilikuwa linaovertake lorry au lorry lilikuwa linaovertake gari ya Mwakyembe?Mr Mwakyembe explained that a lorry was overtaking his car and suddenly a minibus appeared on the opposite direction.