KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Swali la kijinga sana
Weee kwenye kifo utaweza kupata muda wa kufikiria mwenzako?
Hata unaposafiri na ndege wanasema jisaidie kwanza wewe halafu ndio uwafikirie wengine, ingelipuka unadhani kungekuwa na muda wa kubebana?
Kama huamini ngoja yakukute ndio utajua kuwa ajali sio mchezo na akili yako haiwezi kuwa sawa kwa sababu lazima uchanganyikiwe labda uwe komando...
Eti komando, inamana kupasua mawe akili ndo inakaa sawa!