WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Bahati mbaya wakifa watu < 10 watu wengi hawashtuki, lakini haya ndo madhara ya kujenga barabara kwa kuunga unga kila wakati. Ajali nyingi zinasababishwa na ujenzi mbovu wa barabara zisizokidhi kiwango kinachotakiwa. Watu wamefanya deal hii miradi kiasi cha kila mwaka zinatengwa pesa za ukarabati. Yaani hiki kizazi kilichopo madarakani kina madhambi yasiyosahaulika.RIP waliopatwa na mauti, na get well soon majeruhi wote.