Chacharika
Member
- Nov 6, 2010
- 51
- 13
Poleni wafiwa na wote walofariki RIP
mimi nilikuwepo tanker lilkuwa linatoka ubungom kuelekea buguruni kufika kituo cha daladala cha riverside likakuta daladala limepaki njiani na kwa kuwa lilikuwa mwendo kasi likashindwa kufunga breki likapanda ukuta na kugonga gari zilizo kuwa kwenye foleni zinatoka buguruni kuja ubungo,yule mwenye daladala mwenye makosa kakimbia,ajali ni mbaya sana kuna mama kakatika kichwa hapohapo,lecturer mmoja wa chuo kikuuu namfahamu kwa sura amepona pia ila amenusurika na gari yake.
Mimi sikuwahi kumlaumu marehemu mzuzuri kwa kumtwanga risasi yule dereva daladala ...marehemu mbonde. Kutoa uhai wake sikupenda, lakini kumtwanga risasi ilikuwa awa kabisa.
madereva wa daladala ni tatizo kubwa sana hapa mjini...
Yeyote anayeingia kwenye anga zangu nampa ya takoni akamuonyeshe mkewe.
I can feel the lump in my throat...daladala ni tatizo
Kwani M'Mungu amestaafu ??!free maseee @ work
kova yupo busy kuzuia maandamano
bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidimiwe
Sijaipata vema, ila ni ajali mbaya, watu watatu wamekufamo na wengine bado wamekwama mu-gari.
Source: East Africa Radio