Asante kwa taarifa Fide
Hizi ndo akili za GT!Inawezekana sadaka za damu zinatakiwa kuzimu!!!!!!!! Ehee Mungu tuepushe na roho ya ajali na laana ya kuzimu!!! Watanzania kutubu na kumpokea Yesu na kuacha madhambi ni muhimu na Maombi pia!!!!!!!!!
Waliokufa ni wawili tu, mama mmoja alikuwa kwenye gari (amekatika shingo) na machinga aliyekuwa anauza CD. Waliojeruhiwa ni kama wanne hiviNimepita hapo mahali hivi punde. idadi ya marehemu haiwezi kufikia hiyo idadi ulitoitaja Mkuu
feemaso hao!
lori hilo lilikuwa na abiria hivyo lilipoacha njia likapinduka au lilipoacha njia likajimuvuzisha kwa wabongo waliokuwa katika mishe zao? hebu nijue hapo wadau, coz nataka kufanya comment na iziraeli apunguze kidogo coz mwaka mpya umekaribia.
Poleni sana mkuu,tungekuwa tunazungumza mengine humu,so you should give thanks and praises to your God.Tulikuwepo mahali ajali ilipotokea,Kwa kweli hii ajali ilikuwa mbaya sana.leo ni mwenyezi Mungu tu aliyetuokoa,nawaombea waliopoteza maisha na Mungu awape faraja ndugu jamaa na marafiki.sheria za usalama barabarani hazifuatwi,watanzania hatujifunzi ........! kilichotukinga ni gari iliyokatiza mbele yetu sisi tukitokea barabara ya Buguruni,hata rafiki yangu alipaniki na kuachia usukani
aaaah pumzika kwa amani muuza pweza wangu pale pembeni ya daraja....
This is too much. RIP.
Poleni sana wafiwa