Vato
JF-Expert Member
- Feb 15, 2009
- 249
- 139
wana jf tuache upumbavu na kuwa na mawazo machafu ..barabara zetu ni mbovu na magari ni mambovu ajali zikitokea tunasingizia freemason..haya si ni masaburi kweli?
Toka watu wasikie kuna freemasons basi kila kitu kinachowalazimu wafikirie nje ya box ili wakielewe wanakihusisha na masonry (wamezoea kufikria ndani ya box na hawataki kuacha).