Ajali ni nyingi Barabara ya Morogoro Dar es Salaam

Ajali ni nyingi Barabara ya Morogoro Dar es Salaam

Yes sijui niitumie lugha gani nieleweke ila ni kama "kampando" au step kama ilivyo step za kwenye ngazi hasa unapohama kutoka lane moja kwenda nyingine unakuwa unashuka au unapanda ili upate hiyo lane husika
Picha ingesaidia.
 
Usihame hame lane kule japokua kuna kipande pale sema sijui panaitwaje baada ya kimara mwsho ukiwa unaelekea mbezi hapo kati pamenyooka panashawishi kufunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom