Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
CCM oyee
Kwann ?Fuso ndio mwenye kosa...! Shenzi kabsa
We hujiulizi?hapo daraja la wami juu kuna kituo cha police syo mbali sana na haposwala la kuhusu hili daraja lilishajadiliwa sana humu na tatizo la nchi yetu ,mpaka uamuzi utoke pale magogoni ndio litatekelezwa,hizi ajali zitaendelea kutokea hadi hapo tutakapo fanya maamuzi haya ambayo sio rocket science kuyafanya;both sides (kabla ya kuanza kuingia darajani kuwe na compulsory stop,regardeless kuna gari au hakuna gari inayopita daraja) hii itasaidia kulifanya gari kuingia darajani na gea nzito kwa hiyo kuwa na mwendo mdogo;tuweke traffic light itakayotumia mionzi ya jua ,hii itasaidia kuruhusu gari moja at a time,pawe na traffic cops full time pale (24/7) kuona sharia zitatekelezwa;sometime I don't understand why kuna polisi wa kudumu pale daraja la Ruaha,chini ya mteremko wa Mikumi,few kms before Iringa (karibu na Kihesa) hawa wote ni utumiaji mbaya wa nguvu kazi,weka polisi pale Wami ambapo wanahitajika zaidi .tuenedeleeni kusubiri.
Inauma sana!Hayo mabilioni waliyopeleka kwenye uchaguzi wa kipumbavu wa marudio yangetosha kabisa kujenga daraja lingine hapo Wami
Sijui tumelogwa wapi
Priorities zetu ni hovyo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unalaumu tu mamaPia Serikali inawapasa kuliangalia upya lile daraja japo naweza sema kwa hilo tukio hao madereva wote nk hamnazo hasa pale kila mmoja alipokosa kuwa na Subira kwani kikawaida inajulikanaga kabisa pale kupita ni gari moja hivyo mwingine yampasa kusubiri.
Swali zuri mkuuMbona hilo bus ndilo limepita upande wa kulia wakati anapaswa apite kushoto?
Sijui daraja hili litajengwa lini au mpaka watu watumbukie mtoni na watu wapoteze maisha, ndo tutashtuka na kuanza kujenga daraja hilo!!. Kimsingi daraja hilo ni finyu sana pamoja na barabara haiwezi kuaccomodate magari mawili yanayopishana katika nia yenye mteremko mkali kiasi hicho.Ajali imetokea Jioni Hii daraja LA MTO wami USO kwa uso basi pamoja na Fuso. Taarifa zaidi zinakujaView attachment 1025909View attachment 1025910View attachment 1025911
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona umepuyanga sana.Hiyo njia ni pasua kichwa sana watu wa Mbinga, Nyasa, Peramiho, Songea, Muhukuru,
nk.
Tafadhari tumieni njia ya kusini ya Dar-Lindi_Tunduru katika safari zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wamenunuliwa Bombardier lakini wanaikwepa na kuisababishia ATCL hasara Mungu naye amewaona akawaadhibu.Kwanini anunue bombadier hali ya kuwa daraja lina beep kuua raia?
Hapo ndiyo utajuwa kuwa bangi sio mchichaKama sio kwamba kuna gari limefeli break.
Basi ni utaahira wa madereva maana daraja linafahamika ni njia ya gari moja kwa wakati sasa watakutana vipi hapo kati kati kama vile wanataka kuwahiana?
Usiangalie ulipoangukia, angalia ulipojikwaa.
Madereva wa malori sijui huwa wana shida gani kichwani.Fuso ndio mwenye kosa...! Shenzi kabsa
Kuna vitu ukiviwazia unashindwa hata kuelewa uwezo wa viongozi wetu. Hilo daraja mi kiungo muhimu kwa mikoa ya Kaskazini na nchi jirani. Ila kama hawalioni, labda wanasubi kiongozi mkubwa wa nchi afie hapo ndio watafunguka ufahamu.Hilo daraja la miaka mingi sana. Serikali inasubiri nn kufanya upanuzi wa daraja hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamba wanakula viboko?🏃🏃🏃🏃Hapana wanakula Mamba.
Hili lina mahusiano gani na huko Songea nk?Hiyo njia ni pasua kichwa sana watu wa Mbinga, Nyasa, Peramiho, Songea, Muhukuru,
nk.
Tafadhari tumieni njia ya kusini ya Dar-Lindi_Tunduru katika safari zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magari yalikuwa yanataka kulawitiana hahaaaaaa