mizigo mikoa yote
Member
- Dec 2, 2023
- 19
- 28
Basi ilo linafanya safari zake kutoka Singida kuja DSM limepata ajali maeneo ya Chinangali kwa kugongana uso kwa uso na lori.
Hali ya majeruhi sina idadi kamili ila kifo mpaka sasa ni kondakta.
Taarifa zaidi wataleta watu wenye mamlaka.
Hali ya majeruhi sina idadi kamili ila kifo mpaka sasa ni kondakta.
Taarifa zaidi wataleta watu wenye mamlaka.