Ajali mto Wami: Lori lagongana na basi la kampuni ya Shambalai

Mabuss wanakimbia kuliko gari ndogo na wakikutana na taraffic wanasimama anachukua chake moto pale pale.....wanakuwa na posho yao all the way inclusive kwenye nauli…...Pale ni haraka ya Shambalai na dharau...
 
Kama sio kwamba kuna gari limefeli break.

Basi ni utaahira wa madereva maana daraja linafahamika ni njia ya gari moja kwa wakati sasa watakutana vipi hapo kati kati kama vile wanataka kuwahiana?
Labda breki ziligoma.

always positive
 
Hivi huko chini si kuna mamba?


Huo mto ni kati ya mito mikubwa hapa nchini,hivyo, mamba wapo. Lakini si rahisi mamba kupatikana hapo maana kuna shughuli nyingi za kibinadamu. Binafsi nimeishi jirani na hapo sijawahi kusikia mashambulizi ya mamba ama kiboko eneo la darajani, isipokuwa maeneo jirani tu na hapo watu wanalizwa mara kwa mara.Hata hivyo,uzoefu wangu usitumike kama ndiyo kanuni, ikitokea mamba kajeruhi mtu hapo darajani tusishangae maana humo mtoni ni kwao.

Hata hivyo, hatari ya hapo si wanyama hao bali umbali uliopo hadi kufika ndani ya maji. Unaweza kufa hata hujagusa maji.
 
Mabuss wanakimbia kuliko gari ndogo na wakikutana na taraffic wanasimama anachukua chake moto pale pale.....wanakuwa na posho yao all the way inclusive kwenye nauli…...Pale ni haraka ya Shambalai na dharau...

Wewe bado upo nyuma ya wakati. Mabasi siku hizi yanakimbia wapi na wapi! na pia hapo darajani na lile daraja ni nyembamba na kila upande unatokea juu kuteremkia darajani. Hakuna hata siku moja dreva akashukia daraja la Wami na mwendo mkubwa. Hapo ni gari mojawapo imefeli au wote wawili wamekosea timing ya kupeana zamu ya kupita. Kama wewe ni mgeni wa ile njia ungeuliza tu badala ya kuibuka tu na lawama.
 
Mabuss wanakimbia kuliko gari ndogo na wakikutana na taraffic wanasimama anachukua chake moto pale pale.....wanakuwa na posho yao all the way inclusive kwenye nauli…...Pale ni haraka ya Shambalai na dharau...
Sikubaliani Na hili....acha kupotosha jamii
 
Hata mimi nashangaa, daraja linajulikana. Kwa haraka haraka huyo mwenye Lori kama amelazimisha maanake yuko mwanzoni kabisa.
Na uyo wa Fuso je acha kujadili mambo kwa assumption fika eneo la tukio kisha ndo uweze kutoa hoja na kujadii mambo la sivyo huna haki ya kuongea lolote juu ya hii ajaali kuna sababu nyingi zinazopelekea ajali na usizani kila anayepata ajali ni mzembe ama hajui kuendesha gari!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom