Ajali Kibaha yaua Mhadhiri wa SUA

Ajali Kibaha yaua Mhadhiri wa SUA

Joram M

Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
24
Reaction score
10
Kwa mara ingine tena bara bara zetu zimeendelea kuwa kimeo na janga la Taifa.

Mhadhiri kijana: SUMA MWAITULO wa Crop Science and Production Department kapoteza maisha yake leo asubuhi.

Alikuwa anaendesha gari akiwa na watoto wake pamoja na mtumishi wa ndani (House girl). Wote waliokuwemo kwenye gari wamefariki.

Barabara zetu kwa kweli ni janga lingine ambalo linatakiwa liingizwe kwenye KATIBA mpya ili kudhibitiwa.

=============
JamiiForums:

Tunasikitika kuwafahamisha wana JF kuwa tumempoteza mwanachama huyu wa JF ambaye amekuwa active member tangu 2009 hadi umauti ulipomkuta.

Tunatoa pole nyingi kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu mkubwa uliowakuta. Tupo pamoja nanyi katika wakati huu mgumu.


-----------------------------

Nimepokea taarifa kuwa rafiki yangu mwalimu Suma Mwaitulo wa SUA leo akiwa njiani kuelekea dar alipata ajali na kufatiki yeye pamoja na wanae wawili na yaya wao. Habari hii imenisitua sana na hasa nikimfikiria mume wake ndg Jimmy Mwakyami aliyepoteza familia yote mara moja. Kwa kweli inauma sana.

Mungu amtie nguvu ndg Jimmy wakati huu mgumu. AMEN
 
sio barabara tu,magari mabovu on the road,influence ya ulevi kwa baadhi ya madereva etc
 
Kwa mara ingine tena bara bara zetu zimeendelea kuwa kimeo na janga la Taifa. Mhadhiri kijana ; SUMA MWAITULO wa Crop Science and Production Department kapoteza maisha yake leo asubuhi. Alikuwa anaendesha gari akiwa na watoto wake pamoja na mtumishi wa ndani (House girl). Wote waliokuwemo kwenye gari wamefariki. Barabara zetu kwa kweli ni janga lingine ambalo linatakiwa liingizwe kwenye KATIBA mpya ili kudhibitiwa

Watanzania hatuna jema, Waziri Magufuli anajaribu kuwa mkali ili kuzilinda barabara zetu lakini anaonekana mbaya, anakosa uungwaji mkono, lakini ubovu wa barabara hizi lawama serikalini. Sasa tunataka lipi jamani??????????????????
 
Watanzania hatuna jema, Waziri Magufuli anajaribu kuwa mkali ili kuzilinda barabara zetu lakini anaonekana mbaya, anakosa uungwaji mkono, lakini ubovu wa barabara hizi lawama serikalini. Sasa tunataka lipi jamani??????????????????

Yaani hii Bongo aliyeturoga, alitukomoa sana.
 
Watanzania hatuna jema, Waziri Magufuli anajaribu kuwa mkali ili kuzilinda barabara zetu lakini anaonekana mbaya, anakosa uungwaji mkono, lakini ubovu wa barabara hizi lawama serikalini. Sasa tunataka lipi jamani??????????????????

Magufuli ndio anaetengeneza bara bara zisizo na viwango, malori yapo dunia nzima mbona kwingine hawalalamiki..

Mfano lori likitoka na mzigo bandari ya Dar mpaka Lusaka linapita barabara za tanzania mpaka border then linapita bara bara za zambia kuanzia boarder mpaka lusaka na mzigo uzito huo huo, mbona wenzetu hawalalamiki?

Magufuli mwizi tu, anajua kabisa bara bara zake hazina viwango ndio maana hajiamini, mbona rwanda, burundi, congo hawalalamiki wakati hayo malori yanaenda nchi zao na yanatembea kwenye bara bara zao na mizigo uzito huo huo waliotoka nao bandarini
 
Magufuli ndio anaetengeneza bara bara zisizo na viwango, malori yapo dunia nzima mbona kwingine hawalalamiki..

Mfano lori likitoka na mzigo bandari ya Dar mpaka Lusaka linapita barabara za tanzania mpaka border then linapita bara bara za zambia kuanzia boarder mpaka lusaka na mzigo uzito huo huo, mbona wenzetu hawalalamiki?

Magufuli mwizi tu, anajua kabisa bara bara zake hazina viwango ndio maana hajiamini, mbona rwanda, burundi, congo hawalalamiki wakati hayo malori yanaenda nchi zao na yanatembea kwenye bara bara zao na mizigo uzito huo huo waliotoka nao bandarini

Mkuu watu wanapeleka lawama kusiko. Barabara nyingi za Tanzania ziko chini ya viwango. Na hata hivyo suala la ajali chanzo kikubwa ni uendeshaji mbaya.
 
Kwa mara ingine tena bara bara zetu zimeendelea kuwa kimeo na janga la Taifa. Mhadhiri kijana ; SUMA MWAITULO wa Crop Science and Production Department kapoteza maisha yake leo asubuhi. Alikuwa anaendesha gari akiwa na watoto wake pamoja na mtumishi wa ndani (House girl). Wote waliokuwemo kwenye gari wamefariki. Barabara zetu kwa kweli ni janga lingine ambalo linatakiwa liingizwe kwenye KATIBA mpya ili kudhibitiwa
Tatizo si barabara ni madereva wa magari,madereva wengi hawana uzoefu wa safari ndefu,lakini mtu akimiliki gari ataka aendeshe mwenyewe,ulevi pia unachangia,mwendo kasi pia unachangia.Hujatufahamisha ajali imesababishwa na nini kati ya hivyo.
 
Kwa mara ingine tena bara bara zetu zimeendelea kuwa kimeo na janga la Taifa. Mhadhiri kijana ; SUMA MWAITULO wa Crop Science and Production Department kapoteza maisha yake leo asubuhi. Alikuwa anaendesha gari akiwa na watoto wake pamoja na mtumishi wa ndani (House girl). Wote waliokuwemo kwenye gari wamefariki. Barabara zetu kwa kweli ni janga lingine ambalo linatakiwa liingizwe kwenye KATIBA mpya ili kudhibitiwa

Barabara imefanyaje mkuu? i extend my heartfelt sympathy for the tragic loss of all..
 
RIP Mhadhiri na wote mlopoteza maisha kwani 10% ya barabara zetu kwa serikali inayoongozwa na wasio wazalendo ndiyo chanzo cha majanga yote hayo
 
Kwani mmelogwa?

We unajiona uko sawa?! Angalia jinsi watu wanavyoropoka ropoka humu JF na nadharia zao plus magazeti,na hapo hujaenda kwa viongozi, wawe serikalini au upinzani. Wote kwisha tunasubiri ama mganga afufuke au bingwa mwingine atutoe.
 
Nimepokea taarifa kuwa rafiki yangu mwalimu Suma Mwaitulo wa SUA leo akiwa njiani kuelekea dar alipata ajali na kufatiki yeye pamoja na wanae wawili na yaya wao. Habari hii imenisitua sana na hasa nikimfikiria mume wake ndg Jimmy Mwakyami aliyepoteza familia yote mara moja. Kwa kweli inauma sana.
Mungu amtie nguvu ndg Jimmy wakati huu mgumu. AMEN
 
Mungu amtie nguvu mume wa Suma na baba wa watoto kwa kupoteza familia yote mara moja.
 
Matumizi yeyote ya chombo cha moto ni muhimu kuchukua taadhari, licha ya hali ya miundombinu yetu kufahamika na kila mmoja namna ilivyo lakini bado uzembe nao unachangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa kasi ya ajali za barabarani. Mungu azilaze roho za marehemu mahali Pema peponi amen.
 
Back
Top Bottom