42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Hiyo picha inaeleweka sana.Mkuu kwa kuangalia hiyo tu picha huwezi tambua mpaka uwe unalielewa eneo ikiwemo hiyo picha imepigwa toka upande gani.
Hiyo picha inaeleweka sana.Mkuu kwa kuangalia hiyo tu picha huwezi tambua mpaka uwe unalielewa eneo ikiwemo hiyo picha imepigwa toka upande gani.
Mkuu Shalom,
Kwa hiyo unasuspect lori lililosababisha ajali limekimbia?
Lori linalotajwa kwenye report siyo linaloonekana pichani.View attachment 2015323Ripoti ya uchunguzi inasema makosa ni ya dereva wa lori (jeupe) alikuwa anaovertake sehemu isiyoruhusiwa!
Uzuri wa enzi hizi, ushahidi wa picha upon! Wao ni malaika wa shetani, daima hawana kosa!View attachment 2015323Ripoti ya uchunguzi inasema makosa ni ya dereva wa lori (jeupe) alikuwa anaovertake sehemu isiyoruhusiwa!
Na kumroga afie mbali kabisa.Hiyo polisi aliyeandika maelezo ni wa kufunga
HII KITAALAM TUNASEMA MBUZI KAFIA KWA MUUZA SUPUHii ndo ile ukisikia kwa jumbe kuna ngondo,,,
Uko sahihi sana Kiongozi, nimekubali.Kinaweza likawa halijakimbia ila huenda maelezo ya polisi ni ya uongo.
Lori linalotajwa hakuna mtu ameliona kwenye picha.
Lorry lililipo kwenye picha ni FAW na siyo HOWO.
Huenda hilo Lorry la Howo wanalitaja ili kufunika makosa yao. Lakini hiyo haibadili chochote kwamba askari aliyetanua alifanya makosa.
Kisheria mkipata ajali hakitakiwi kuhamishwa kitu chochote eneo ajali na polisi wanalifahamu hili.
Sasa kwanini Hilo Lori la Howo halionekani pichani?
Ningekuwa na mamlaka , hawa wote wangekuwa hawana kazi mpaka sasa kwa kosa la kufanyakazi chini ya kiwangoTUKIO LIMEKAGULIWA NA
ACP. SOFIA JONGO RPC TANGA
AKISAIDIWA NA
SSP LEOPORD .N. FUNGU RTO TANGA , SP. ELIAS RWAMBANO OCS KABUKU, A/INSP RAJABU KAIMU DTO HANDENI PAMOJA NA G.3191 CPL
MUSSA AMBAYE NDIYE AMECHORA NA KUPIMA ENEO LA TUKIO