Mihayo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2010
- 268
- 63
Nina swahiba anasafiri mida hii to Mbeya amenitumia SMS kuna basi la Hood limetumbukia Kitonga. Kupata more details wenye ndugu waliokuwa wanasafiri kuelekea au kutoka Pande hizo na Hood tafadhalini fatilieni.
UPDATE;
Basi la HOOD limepata ajali Mlima kitonga muda huu, taarifa zaidi zitatolewa na vyombo Husika.
Mungu waponye na uwape uzima wote
IRINGA: Basi la abiria ambalo ni mali ya Kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Arusha jana mchana lilipata ajali na kupinduka katika Mlima Kitonga mkoani Iringa baada ya kugongana na lori la mafuta.
Imearifiwa kuwa, katika ajali hiyo mtu mmoja amepoteza maisha na wengine 43 wamejeruhiwa. Kati ya majeruhi hao 25 wapo Hospitali ya Itunda Ilula na 18 wapo katika Hospitali ya Mkoa wakipatiwa matibabu.
UPDATE;
Basi la HOOD limepata ajali Mlima kitonga muda huu, taarifa zaidi zitatolewa na vyombo Husika.
Mungu waponye na uwape uzima wote
IRINGA: Basi la abiria ambalo ni mali ya Kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Arusha jana mchana lilipata ajali na kupinduka katika Mlima Kitonga mkoani Iringa baada ya kugongana na lori la mafuta.
Imearifiwa kuwa, katika ajali hiyo mtu mmoja amepoteza maisha na wengine 43 wamejeruhiwa. Kati ya majeruhi hao 25 wapo Hospitali ya Itunda Ilula na 18 wapo katika Hospitali ya Mkoa wakipatiwa matibabu.