Ajali: Basi la Hood Limepata ajali Iringa Milima ya Kitonga

Ajali: Basi la Hood Limepata ajali Iringa Milima ya Kitonga

Duuu kama limedumbukia huko chin vifo lazma na majeruhi pia,
mungu uwatie nguvu wahanga
 
nitakuwa mwenye furaha kuliko wote shangwe nakurukaruka nikisikia hakuna vifo wala majeruhi. Mungu wajalie hao abiria warudi salama Kwa familia na wapendwa wao
Iran Kuna sehemu inaitwa chalus....kitonga inasubiri yaani so mchezo.....lkn NashangA ajalii hazitokei sana....Ila panatisha sana

Ova
 
Hapo kitonga nafikiri hata madereva wanapaogopa maana panatisha, unaweza kipak gari ukaomba msaada wa kuvushwa, so serikal iangalie upya miundo mbinu ya KITONGA ni noma aiseeee!
Kitonga cha mtoto.....Iran Kuna sehemu inaitwa chalus...panatisha ROAD ni nyembamba sana..huko chini ukipacheki ohhh balaaa
Kwa wale wasafiri waliyoenda huko watanielewa nachokisema....ajali hazitokei sana

OVA
 
Mods kuna uzi niliunzisha kuhusiana na hii ajali
Kama vipi tupieni zile picha humu.
 
Ni kweli hii ajali nimeikuta kona ya sita tokea huku upande wa kutoka Iringa ......basi ni Hood linalotoka mbeya kwenda Arusha ......waliokufa wapo na majeruhi ni wengi .....BT nashindwa kuweka data kamili...coz of TCRA Mimi si msemaji ...rasmi.....ila hili jambo nilakweli
Vingine sio vya kuogopa hii ni taarifa yenye manufaa kwa wengi
Hawa watu wana matatizo gani? Huku Arusha jana usiku Hood ilikuwa inavutwa cheni ikakatika likaingia kwenye baa moja hivi , leo tena khaaaaa
 
Hiyo kampuni ni bora ifungiwe.....khaaaa!!!!..magari yake yamechoka af bado ajali zimekithiriii....eeh Mungu tuangalie waja wako
 
Mkuu;
Naona huyo msafiri alikuwa paparazi, hadi anachukua video!! Halaf alitoka mzima kabisaa au aliachwa na gari pale Mbuyuni??
 
Watatumaliza hawa watu, na wanavyokimbia hadi unaogopa safarini
 
Nyie mods mna nongwa sana.Mi nilileta uzi ukiwa na picha za basi la Hood likiwa korongoni kabisa nikawaomba muunganishe na huu uzi lakini mpaka sasa kimya na uzi wangu mmeuondoa!.
 
Back
Top Bottom