Ajali: Basi la Hood Limepata ajali Iringa Milima ya Kitonga

Ajali: Basi la Hood Limepata ajali Iringa Milima ya Kitonga

Poleni sana.....ngoja tusubirie taarifa zaidi

OVA
 
1477577023162.jpg
1477577026983.jpg
1477577031792.jpg
 
Wakuu kuna jamaa yangu yupo maeneo ya Ilula kanipasha habari ya kwamba bus la Hood limepata ajali muda huu na kudumbukia kwenye maporomoka ya Kitonga.
Naendelea kumcheki ili kujua kama lilikuwa likitoka wapi na kwenda wapi na kama kuna majeruhi na waliopoteza maisha.
Kama kuna wadau wengine wanaoweza pata habari zaidi kwa njia zao karibuni ili tuhabarishane.
1477577576638.jpg
1477577585244.jpg
1477577594766.jpg
1477577608233.jpg
 
Duuuuh! Majeruhi hawawezi kukosa mungu awatie nguvu na wepesi katika afya zao.
 
Mungu awaponye majeruhi masking Kitonga panatisha sana
 
Mungu awanusuru jamani, daaah! hizi ajali kila siku kuna nini jamani?! Mungu tuepushe na majanga baba ingawa sie ni wadhambi tusamehe.
 
Back
Top Bottom