Ajali: Basi la Hood Limepata ajali Iringa Milima ya Kitonga

Ajali: Basi la Hood Limepata ajali Iringa Milima ya Kitonga

Poleni majeruhi. Kamanda Mohammed Mpinga upo? Mwisho wa mwaka umefika panga timu yako vizuri raia tunakwisha.
Mbona matrafiki wamejazana road mkuu..dar Moro masas manne na nusu....hiyo ajali itakuwa uzembe wa madereva...si unajua kitonga hakuna trafik wanao kaaa

OVA
 
  • Thanks
Reactions: lnx
Ni kweli hii ajali nimeikuta kona ya sita tokea huku upande wa kutoka Iringa ......basi ni Hood linalotoka mbeya kwenda Arusha ......waliokufa wapo na majeruhi ni wengi .....BT nashindwa kuweka data kamili...coz of TCRA Mimi si msemaji ...rasmi.....ila hili jambo nilakweli
 
Kuna uzi nimeuona unaohusiana na hii ajali.
Naomba mods waunganishe huu uzi huko ili tuendelee kuwa na taarifa za pamoja.
 
nitakuwa mwenye furaha kuliko wote shangwe nakurukaruka nikisikia hakuna vifo wala majeruhi. Mungu wajalie hao abiria warudi salama Kwa familia na wapendwa wao
 
Mbona matrafiki wamejazana road mkuu..dar Moro masas manne na nusu....hiyo ajali itakuwa uzembe wa madereva...si unajua kitonga hakuna trafik wanao kaaa

OVA
Hapo kitonga nafikiri hata madereva wanapaogopa maana panatisha, unaweza kipak gari ukaomba msaada wa kuvushwa, so serikal iangalie upya miundo mbinu ya KITONGA ni noma aiseeee!
 
Back
Top Bottom