Ajabu lakini Kweli

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,914
1. Mwanasheria anatumai utaingia kwenye Shida. (Uwe mtuhumiwa)

2. Daktari anatumai uuumwe/upate shida ya kiafya

3. Polisi anatumai uwe Mhalifu.

4. Mwalimu anatumai Uwe Mpumbavu

5. Mwenye Nyumba anatamani usujenge Nyumba yako

6. Daktari wa meno anatumani meno yako yaoze

7. Fundi anatumai gari lako liharibike

8. Mtengeneza majeneza anataka ufe.

9. Ni Mwizi pekee ndiye anayekutakia Mafanikio katika Maisha yako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muuza dawa ana subiri mteja hapa 😆

FB_IMG_17069936566927530.jpg
 
1. Mwanasheria anatumai utaingia kwenye Shida. (Uwe mtuhumiwa)

2. Daktari anatumai uuumwe/upate shida ya kiafya

3. Polisi anatumai uwe Mhalifu.

4. Mwalimu anatumai Uwe Mpumbavu

5. Mwenye Nyumba anatamani usujenge Nyumba yako

6. Daktari wa meno anatumani meno yako yaoze

7. Fundi anatumai gari lako liharibike

8. Mtengeneza majeneza anataka ufe.

9. Ni Mwizi pekee ndiye anayekutakia Mafanikio katika Maisha yako!

Sent using Jamii Forums mobile app

Maisha ni matatizo..
 
1. Mwanasheria anatumai utaingia kwenye Shida. (Uwe mtuhumiwa)

2. Daktari anatumai uuumwe/upate shida ya kiafya

3. Polisi anatumai uwe Mhalifu.

4. Mwalimu anatumai Uwe Mpumbavu

5. Mwenye Nyumba anatamani usujenge Nyumba yako

6. Daktari wa meno anatumani meno yako yaoze

7. Fundi anatumai gari lako liharibike

8. Mtengeneza majeneza anataka ufe.

9. Ni Mwizi pekee ndiye anayekutakia Mafanikio katika Maisha yako!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Dactari na Mwalimu umewaonea,this is charity work kaka,na wito kama wito mwingine japo wachache wanautumia ndivyo sivyo,but 90% am telling you wanajitolea kikoree.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom