Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,914
1. Mwanasheria anatumai utaingia kwenye Shida. (Uwe mtuhumiwa)
2. Daktari anatumai uuumwe/upate shida ya kiafya
3. Polisi anatumai uwe Mhalifu.
4. Mwalimu anatumai Uwe Mpumbavu
5. Mwenye Nyumba anatamani usujenge Nyumba yako
6. Daktari wa meno anatumani meno yako yaoze
7. Fundi anatumai gari lako liharibike
8. Mtengeneza majeneza anataka ufe.
9. Ni Mwizi pekee ndiye anayekutakia Mafanikio katika Maisha yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
2. Daktari anatumai uuumwe/upate shida ya kiafya
3. Polisi anatumai uwe Mhalifu.
4. Mwalimu anatumai Uwe Mpumbavu
5. Mwenye Nyumba anatamani usujenge Nyumba yako
6. Daktari wa meno anatumani meno yako yaoze
7. Fundi anatumai gari lako liharibike
8. Mtengeneza majeneza anataka ufe.
9. Ni Mwizi pekee ndiye anayekutakia Mafanikio katika Maisha yako!
Sent using Jamii Forums mobile app