Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Sumbawanga...
Dar ulipita kwenda kupanda ndege...
Umejuaje nimewahi kupanda ndege....ulinipandisha wewe hiyo ndege?
Sumbawanga...
Dar ulipita kwenda kupanda ndege...
LeanBack kaniPMUmejuaje nimewahi kupanda ndege....
LeanBack kaniPM
Ishakuwa Nongwa?
Uzushi ndio nini? Kwa kiswahili fasaha
Na wewe umesoma PCB? mhhhh sidhani na kama umesoma basi sio special skuli tena ile Kula Lala faulu [KLF].Hapa YNIM ndio anaweza kujibu swali kifasahaInawezekana ana aina flani ya elephantiasis....
Ila Aisha bonge la totoz jamani....I've been lusting for her ever since I've known of her.....
Na wewe umesoma PCB? mhhhh sidhani na kama umesoma basi sio special skuli tena ile Kula Lala faulu [KLF].Hapa YNIM ndio anaweza kujibu swali kifasaha
Huyu dada labda umemjua kule ze sweet...Huwezi kujua hata siku moja mimi nimesomea nini na wapi!! Kujua kuhusu haya ni zaidi ya PCB...
Kwa kukusaidia tu elephantiasis is a gross enlargement of the arms, legs, your privates, etc. I'm not going to go deep about so as not to confuse you. But if you have any questions just holla....
Inasemekana Aisha Madinda Mbegu ameanza kusumbuliwa tena na ule ungonjwa wa kuvimba mwili (miguu). Je huu ni ungonjwa wa aina gani.... maana kuna kipindi aliwahi kusema ameshapima NGOMA na yupo safiii. Sasa ni nini hasa kinamsumbua dada yetu???
Mungu atakusaida dada yetu upone na uendelee na shughuli zako kama kawaida.