Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,375
- 37,201
Mguu pande mguu sawa..Nakumbuka kipindi naanza kuota ndevu nikaambiwa usione watu wana nyama ukajichanganya umeisha, kwahiyo nakaa makini kwakweli
Ukiwa town / kariakoo,posta e.t.c either viwandani, migodini aisee nikawa karibu na dada mmoja alinipenda nilikula Sana buree mixer anasema niende kwake nikalale yaan nikawa na doubt nae maana before Kuna mwamba aliwai nipa code za mjini niogope wauza chakula/ wale wa dada.
Guess what from know where MT. mmoja akaniona na yule dada akaniota akasema kwa jinsi mlivyo kua mmesimama na yule mdada anakutaka/ nimwambie kitu yupo grid ya taifa akasema na yeye pia yupo na akanionesha TEMBE.
Mimi huwa niki mdoubt mdada huwa sichakati/ Nina uo uwezo wa ku doubt 🧐 wadada.
Ila kwa Sasa ukimwi umekua kama ugonjwa wa kawaida na ili uichakate papuchi/ mbususu kisawa sawa lazima friction itokee