Aise wakuu UKIMWI ni noma

Aise wakuu UKIMWI ni noma

Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanya Kwa akili Sana.
Imekuchukuwa miaka mingapi kugundua hili jambo ambalo liko dhahiri na limekuwa likisemwa kwa miaka zaidi ya 30? Wewe ni aina ya wale watu ambao ni lazima waone madhara ndiyo wanakubali?
 
Wanasema sikuhizi ukimwi ni kama mafua,
Usiamini, wanaosema ni wale wasio ugua..

Wewe ukihisi unataka kuwamaliza mabinti wazuri wote, tambua Mungu hajachoka kuwaumba..

Ukitaka kila anayekuchekea upite nae, utakosa wa kulia nae wakati ambao hakuna utani wa kukuchekesha, umekonda unagofya

Kama wewe fahari yako ni kuwasimulia wana jinsi unavyo waumiza..

Kesho itakosekana leso kwaajili ya machozi ya dada yako, kwa kuumizwa vilevile..

Leo wanakusifia kwa kupiga kila mitandaoni huko

Siku nyingine watakusifia kwa kumaliza uji bila kutapika, stuka...

Sikia mwanangu, Zipu mbovu..

Watu wanaumwa na wana hasira kwa kuambukizwa.

Na furaha yao iliyobaki ni kuusambaza ugonjwa katika namna ileile waliyoipata wao.

Wewe jifanye kanyaga twende, tutakuzika na kilo 13, kama kiroba cha sukari..

Chagua manzi moja isiyokupa miwasho na fangasi, ishi nayo afu fanya maisha..

Nawahusia na kuihusia nafsi yangu..
 
Back
Top Bottom